Nyumba 5,600 kuvunjwa Dar
Vilio, simanzi, majonzi na nyuso zilizojaa huzuni vilitawala Bonde la Mto Msimbazi wilayani Kinondoni jana wakati nyumba zilizojengwa kinyume cha sheria zilipokuwa zikibomolewa. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Nyumba za mafuriko kuvunjwa Dar
Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameamuru kubomolewa baadhi ya nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Dar es Salaam.
Akihutubia wananchi wa eneo hilo jana, Rais Kikwete alisema nyumba hizo zitabomolewa pamoja na karavati hilo kupisha maji kupita na kulijenga upya.
“Kwa sasa tunaendelea kuvuta maji yaliyojaa kwenye makazi ya watu kwa kutumia pampu lakini baadaye itabidi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
Nyumba zilizojengwa juu ya bomba la kupitisha maji Buruguni kuvunjwa.
Rais Jakaya Kikwete, jana alitembelea waathirika wa mafuriko Buguruni kwa Mnyamani na kuahidi kuwasaidia, huku akiagiza kuvunjwa kwa nyumba zitakazobainika kujengwa juu ya bomba hilo.
Kikwete alisema tathmini ya nyumba ziliozojengwa juu ya bomba hilo itafanyika, na wanaanchi watalipwa fidia zao.
Kadhalika, alisema bomba hilo lililosababisha mafuriko hayo litajengwa upya ili kuwezesha kupitisha maji mengi zaidi.
Kikwete pia ameagiza wilaya ya Ilala itoe msaada wa chakula kwa wakazi hao, pamoja...
10 years ago
GPLSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WR8Q1liWT28/XrfgFcz1ynI/AAAAAAALprU/b-WSRb7gJ40KnRX6uwaA1eD4B909eD5JwCLcBGAsYHQ/s72-c/faff559c-c8e5-49fa-a4c3-ecb43b255d52.jpg)
WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 600 SOKO LA SHEKILANGO JIJINI DAR WAOMBA KUKUTANA NA MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.
Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
TFF Karume kuvunjwa
OFISI za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zinatarajiwa kuhama kwa muda Karume, Ilala jijini Dar es Salaam mapema mwezi ujao kupisha uendelezaji wa eneo hilo, ikiwa ni moja ya ilani...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
‘Kuvunjwa katiba kumeniondoa CCM’
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Idara ya Usalama kuvunjwa,Argentina
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Bodi yapendekeza chama kuvunjwa
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Karaha za kupanga nyumba Dar