WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 600 SOKO LA SHEKILANGO JIJINI DAR WAOMBA KUKUTANA NA MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WR8Q1liWT28/XrfgFcz1ynI/AAAAAAALprU/b-WSRb7gJ40KnRX6uwaA1eD4B909eD5JwCLcBGAsYHQ/s72-c/faff559c-c8e5-49fa-a4c3-ecb43b255d52.jpg)
*Ni baada ya kupewa tangazo linalowataka kuondoka eneo hilo ndani ya siku 14
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.
Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMR UWAZI AWATEMBELEA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA NDIZI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFftIi0hqks/U_irGMgTPRI/AAAAAAAGBzY/PR01H_CWvpM/s72-c/Picture%2B039.jpg)
MKURUGENZI WA MANISPAA YA KINONDONI AZINDUA CAMPAIGN YA 'SAY NO TO ABORTION - CHAGUA MAISHA JIJINI DAR
'Utoaji mimba usio katika hali salama, mazingira mazuri na vitendea kazi viivyodhibitishwa hufanyika kila siku katika jamii zetu ingawa serekali na sheria ya nchi yetu hairuhusiwi.
Tunapoteza nguvu kazi, vijana wa taifa letu' alisema Mkurugenzi wa kampeni hiyo, ndugu Veronica Lugenzi ambayo imezinduliwa rasmi 22...
9 years ago
MichuziVYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM VILITUMIKA KUDHALILISHA WANAWAKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I9vfyf3mGko/VZvY7QMaKCI/AAAAAAAHnjo/EVLp8MzLMyM/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Meya wa manispaa ya Kinondoni Yusufu Mwenda akabidhi soko jipya la SIMU 2000 kwa wafanyabiashara
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s72-c/IMG_6467.jpg)
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s1600/IMG_6467.jpg)
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s72-c/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TEMEKE, JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s640/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, masuala mbalimbali ya kikazi. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Wazirihuyo, jijini Dodoma, leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/de12fbf6-b01b-4737-94b5-4659e7713a44.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akiagana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma,...
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WS1NTxPkm8A/UxSYD1OegYI/AAAAAAAFQ7w/dKHsBN8809Q/s72-c/MMG26356.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLMGwo2cT8M/VUiknIHzInI/AAAAAAAHVc0/BGlbkp8R6cY/s72-c/_MG_1557.jpg)
HALI ILIVYOKUWA UBUNGO JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLMGwo2cT8M/VUiknIHzInI/AAAAAAAHVc0/BGlbkp8R6cY/s640/_MG_1557.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-szvTmzPsebI/VUikm7c-zhI/AAAAAAAHVc4/RQthTgFGm50/s640/_MG_1560.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pdpOstgye3c/VUikmuxzRkI/AAAAAAAHVcw/RgS0Nc6a2co/s640/_MG_1581.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yewoJge5nZk/VUikoScF9dI/AAAAAAAHVdI/0c4yM5CVZcU/s640/_MG_1582.jpg)