MR UWAZI AWATEMBELEA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA NDIZI JIJINI DAR
Wafanyabiahara katika soko la ndizi urafiki wakinunua gazeti la Uwazi na kupiga picha na Mr Uwazi. Wafanyabiashara wa Soko la urafiki walipokutwa na Mr Uwazi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL'MR. UWAZI MIZENGWE’ AWATEMBELEA WASOMAJI WAKE DAR
Wasomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe wakipozi na Mr. Uwazi eneo la Jet Lumo, Dar. Mr. Uwazi akijibu maswali kutoka kwa Iddi Mussa wa eneo la Jet Lumo, Dar.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WR8Q1liWT28/XrfgFcz1ynI/AAAAAAALprU/b-WSRb7gJ40KnRX6uwaA1eD4B909eD5JwCLcBGAsYHQ/s72-c/faff559c-c8e5-49fa-a4c3-ecb43b255d52.jpg)
WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 600 SOKO LA SHEKILANGO JIJINI DAR WAOMBA KUKUTANA NA MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO
*Ni baada ya kupewa tangazo linalowataka kuondoka eneo hilo ndani ya siku 14
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.
Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.
Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRSEO8mkLR0n2iA3E3BPe*9iNN9eaGkj*Eat*yxrYL879jxXSh1L7UB71s0wpU3mdGzcPpTEoZBYVJ5AVcdr5zxk/MRUWAZI1.jpg?width=650)
11 years ago
GPLPROMOSHENI YA GAZETI LA UWAZI JIJINI DAR YAFANYIKA LEO
Wasomaji wa gazeti la Uwazi wakinunua gazeti hilo kwenye gari la matangazo. Mhariri…
11 years ago
GPLWASOMAJI WA ‘UWAZI’ WAMWAGIWA ZAWADI JIJINI DAR
Msichana wa Kawe akitokwa na machozi ya furaha wakati akikabidhiwa zawadi. Mr Uwazi akimwaga zawadi Kawe.…
11 years ago
GPL‘MR.UWAZI’ AENDELEA KUGAWA ZAWADI JIJINI DAR
Mr. Uwazi akiwa mitaa ya Gongo la Mboto Mwisho akigawa zawadi kwa wasomaji wa gazeti la Uwazi walilokutwa nao. Mwandishi wa gazeti la Uwazi, Jelard Lucas (wa kwanza kushoto) akiwa na Mr. Uwazi (katikati) na wasomaji wa gazeti la Uwazi leo mitaa ya Gongo la Mboto.…
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
10 years ago
GPLMR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR
Mkazi wa Mbezi Mwisho akipozi na Mr.Uwazi baada ya kurudishiwa pesa yake aliyonunulia gazeti. Mr.Uwazi akiongea na msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho huku akitoa maoni yake ya nini kifanyike ndani ya gazeti hilo ili liendelee kuwa bora.…
10 years ago
GPLMR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR
Msomaji wa Uwazi Mizengwe akipokea zawadi ya mfuko wa sukari eneo la stendi ya daladala ya Makumbusho, Kijitonyama. Mteja wa Uwazi Mizengwe (kushoto mwenye mkoba) kabla ya kununua gazeti katika meza ya muuza magazeti eneo la Mwenge.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania