Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MR UWAZI AWATEMBELEA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA NDIZI JIJINI DAR

Wafanyabiahara katika soko la ndizi urafiki wakinunua gazeti la Uwazi na kupiga picha na Mr Uwazi. Wafanyabiashara wa Soko la urafiki walipokutwa na Mr Uwazi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

'MR. UWAZI MIZENGWE’ AWATEMBELEA WASOMAJI WAKE DAR

Wasomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe wakipozi na Mr. Uwazi eneo la Jet Lumo, Dar. Mr. Uwazi akijibu maswali kutoka kwa Iddi Mussa wa eneo la Jet Lumo, Dar.…

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 600 SOKO LA SHEKILANGO JIJINI DAR WAOMBA KUKUTANA NA MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO

*Ni baada ya kupewa tangazo linalowataka kuondoka eneo hilo ndani ya siku 14


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.

Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...

 

11 years ago

GPL

PROMOSHENI YA GAZETI LA UWAZI JIJINI DAR YAFANYIKA LEO

Wasomaji wa gazeti la Uwazi wakinunua gazeti hilo kwenye gari la matangazo. Mhariri…

 

11 years ago

GPL

WASOMAJI WA ‘UWAZI’ WAMWAGIWA ZAWADI JIJINI DAR

Msichana wa Kawe  akitokwa na machozi ya furaha wakati akikabidhiwa zawadi. Mr Uwazi akimwaga zawadi Kawe.…

 

11 years ago

GPL

‘MR.UWAZI’ AENDELEA KUGAWA ZAWADI JIJINI DAR

Mr. Uwazi akiwa mitaa ya Gongo la Mboto Mwisho akigawa zawadi kwa wasomaji wa gazeti la Uwazi walilokutwa nao. Mwandishi wa gazeti la Uwazi, Jelard Lucas (wa kwanza kushoto) akiwa na Mr. Uwazi (katikati)  na wasomaji wa gazeti la Uwazi leo mitaa ya Gongo la Mboto.…

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na mmoja wa wafanyabiashar wa soko la Mburahati wakati wa ziara yake sokoni hapo ambapo alikutana na...

 

10 years ago

GPL

MR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE JIJINI DAR

Mkazi wa Mbezi Mwisho akipozi na Mr.Uwazi baada ya kurudishiwa pesa yake aliyonunulia gazeti. Mr.Uwazi akiongea na msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho huku akitoa maoni yake ya nini kifanyike ndani ya gazeti hilo ili liendelee kuwa bora.…

 

10 years ago

GPL

MR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR

Msomaji wa Uwazi Mizengwe akipokea zawadi ya mfuko wa sukari eneo la stendi ya daladala ya Makumbusho, Kijitonyama. Mteja wa Uwazi Mizengwe (kushoto mwenye mkoba) kabla ya kununua gazeti katika meza ya muuza magazeti eneo la Mwenge.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani