Meya wa manispaa ya Kinondoni Yusufu Mwenda akabidhi soko jipya la SIMU 2000 kwa wafanyabiashara
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9vfyf3mGko/VZvY7QMaKCI/AAAAAAAHnjo/EVLp8MzLMyM/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
MSTAHIKI Meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda amesema kuwa soko jipya la SIMU 2000 litaweza kuchukua wafanyabiashara 512 kutoka kila pembe ya manispaa ya kinondoni. Mstahiki Mwenda amewatoa hofu wafanyabiashara wa soko jipya la kituo cha basi cha Simu2000 mawasiliano kuwa watafanya biashara bila ya kuwa na matatizo yoyote kwa kuwa soko hilo lipo katika mfumo wa kisasa. Meya Mwenda alisema hayo alipokuwa akikabidhi vizimba vya soko hilo kwa wafanya biashara ndondogo waishio...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI SOKO LA MAWASILIANO SIMU 2000
Na Mwandishi wetu
MSTAHIKI Meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda amesema kuwa soko jipya la SIMU 2000 litaweza kuchukua wafanyabiashara 512 kutoka kila pembe ya manispaa ya kinondoni.
Mwenda amewatoa hofu wafanyabiashara wa soko jipya la kituo cha basi cha Simu2000 mawasiliano ...
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
11 years ago
MichuziMEYA KINONDONI MH. YUSSUF MWENDA AFUTURISHA WANANCHI WA MANISPAA YAKE
Akizungumza wakati wa futari aliyoiandaa kwa wananchi wa Manispaa yake, viongozi wa Kiserikali na kidini, Dar es Salaam juzi Meya huyo alisema kuwa Manispaa yake ni kubwa na hivyo endapo watu watachukua maamuzi ya kusaidia watoto hao basi...
10 years ago
MichuziMSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI ZAWADI ZA PASAKA KWA YATIMA
Akikabidhi msaada huo Meya Yusuph Mwenda aliwataka watanzania kuwa na moyo wa kusaidia watoto hao hususan katika msimu wa Sikukuu ikiwa ni njia mojawapo ya kuwafariji watoto hao.
“Hakuna anayependa kuona watoto hawa wanaongezeka mitaani, Na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mfR3pY3jdbY/VJxjIa5w4ZI/AAAAAAAG5zA/ulf_OqOGmI4/s72-c/001.jpg)
MEYA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI MSAADA WA VYAKULA KWA VITUO VYA YATIMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfR3pY3jdbY/VJxjIa5w4ZI/AAAAAAAG5zA/ulf_OqOGmI4/s1600/001.jpg)
9 years ago
MichuziMEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
VijimamboMEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA
10 years ago
MichuziMEYA MWENDA WA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda ameshinda Tuzo ya Meya Bora katika Bara la Afrika katika kundi la Majiji ya Kati na kuyabwaga majiji mengine mbalimbali.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (The United Cities and Local Government of Africa- UCLGA) na kupewa jina la Rais wa Angola ‘President Jose Eduardo Dos Santos- Africa Mayors Award’ ni za mara ya kwanza kufanyika Barani Afrika.
Tofauti na Tuzo za Tanzania,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s72-c/FSA_001.jpg)
MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s1600/FSA_001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s2sotdyf83k/VSrU9HupzsI/AAAAAAAHQx0/sEbsf-aZHdE/s1600/FSA_003.jpg)