‘Kuvunjwa katiba kumeniondoa CCM’
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Kombare-Mwiru amesema historia itamhukumu kwa uamuzi alioufanya wa kuihama CCM, baada ya kuituhumu kuvunja katiba wakati wa uteuzi wa mgombea wa urais wa chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Katiba hatarini kuvunjwa, wanasheria waonya
Wakati Bunge Maalumu la Katiba linakusudia kufanyia marekebisho kanuni zake ili kuwabana wajumbe wa Bunge hilo ambao wamesusia kushiriki mchakato wa Katiba, wanasheria, wasomi na wanaharakati wamepinga dhamira hiyo wakisema itasababisha kuvunjwa kwa Katiba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIqJWnCVKMo8DcvpUZ8XXQLFkehyusPUUcLPrngyBIiYZY59ngCyS1Vk8SgutDZo1BsERYVBu9rJjMapI98zw3t/IKULU.png?width=650)
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012. Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3, Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya...
11 years ago
Michuzi25 Mar
10 years ago
TheCitizen12 Apr
KATIBA REVIEW: Govt and CCM to share blame on Katiba issue
>What has been in controversy for several months about the referendum date now is clear. At last, what has been anticipated by the majority citizenry has been fulfilled – the referendum has indefinitely been put on hold. Last year, President Jakaya Kikwete, while on a state visit to China, announced that the referendum day would be on April 30. It was argued that the President’s mandate in setting a date for the referendum is given vide section 4 of the Referendum Act,...
11 years ago
Michuzi27 Mar
Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.
Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
TFF Karume kuvunjwa
OFISI za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zinatarajiwa kuhama kwa muda Karume, Ilala jijini Dar es Salaam mapema mwezi ujao kupisha uendelezaji wa eneo hilo, ikiwa ni moja ya ilani...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Nyumba 5,600 kuvunjwa Dar
Vilio, simanzi, majonzi na nyuso zilizojaa huzuni vilitawala Bonde la Mto Msimbazi wilayani Kinondoni jana wakati nyumba zilizojengwa kinyume cha sheria zilipokuwa zikibomolewa. Â Â Â
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Bodi yapendekeza chama kuvunjwa
 Bodi mpya ya Chama Kikuu cha Ushirika wa Wakulima wa Tumbaku Kanda ya Magharibi (Wetcu Ltd), imependekezwa kuvunjwa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo ikiwamo kushindwa kulipa madeni ya wakulima.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Idara ya Usalama kuvunjwa,Argentina
Rais wa Argentine Fernandez de Kirchner ametangaza mpango wake wa kuifunga idara ya usalama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania