Dosari gani hiufanya ndoa kuwa batili?
DUNIANI kote ndoa ni taasisi ya muhimu katika maisha ya kila mwanadamu, ni kitu ambacho hakikwepeki katika hatua ya maisha ya binadamu hasa aliye kamilifu. Kutokana na umuhimu wake huo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…
Uamuzi uliofanywa na Papa Francis Jumanne ya wiki hii kuanzisha mchakato wa kurahisisha wanandoa kuachana kwa talaka au ndoa kutenguliwa, umeshangaza wengi.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Ni Umri gani unakufanya kuwa na furaha?
Baadhi wanaamini furaha hupatikana ughaibuni hasa magharibi,lakini watafiti wanasema furaha huponyoka katika umri wa makamo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgDh7Wv66VpTrPtZVarN27oWCTObLYff7I-EpIAOnfZLppZTLllwg3T0JLe2*-PiY8z-0PY6N9jR79ICXZnzVtCm/LV.jpg)
MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwa moyo mkunjufu kwenye busati letu la mahaba, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane kuhusu mada ambayo siyo ngeni lakini imekuwa ikisababisha mivutano na migongano mingi ya kimawazo mara kwa mara kila inapojadiliwa, hasa na wanaume au wanawake wenyewe. Hivi umeshawahi kujiuliza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWnLoBwkwRU5DxgT2JGb7SAPSwuZlSmN6L686yq3Q*pmtiZv-H9dQ2jGfkfqWLwytBEvQ*rbvWuJB8eQDXJZ5Rmt/Blogpiccouplecuddling4441652.jpg?width=650)
MWANAUME BORA ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?-2
Uhali gani msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwenye ukurasa huu kujadili na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kujadili mada inayojieleza hapo juu ya sifa na vigezo anavyotakiwa kuwa navyo mwanaume bora. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitakushukuru wewe msomaji wangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsSoV9uqe9aIhruTQlHgGkT3l9xrreroDLiDSqZlxn0RGZ10kBVIL7UL4IZyX6GpKJJUPhRjhQQFzvRLu0NbP9L/2.jpg)
MUME MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?
Ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu katika ukurasa wetu huu, tujadiliane na kuzungumza mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita, nilihitimisha mada iliyokuwa inazungumzia mwanamke mzuri anapaswa kuwa na vigezo gani? Kutokana na maombi ya wasomaji wangu, nimeamua kuhamia upande wa pili na kujadili pia sifa za mume au mwanaume bora. Nazungumza na wewe mwanamke au msichana, hivi umewahi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68wCIK97vWWK4bA5QrCl6MXM4dzpNovupX57OjZl49uA1KG3ZZEdOx5AQzEVasD2r1CnDR4C3o72HSQPmpHmWDMh/z.jpg?width=650)
MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?- 2
U hali gani msomaji wangu? Ni matumaini kwamba uliifurahia siku ya wapendanao (Valentines Day) kwa kufanya yale yanayostahili kufanywa kwenye siku hiyo. Nakukaribisha tena tuendelee na mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita kama inavyojieleza hapo juu. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitakushukuru wewe msomaji wangu ambaye ulituma ujumbe mfupi (sms), kuchangia mada hii kama nilivyokuomba. Ushauri au mawazo yako uliyoyatoa ni ya...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?
![](http://sandiegobargainmama.com/wp-content/uploads/2011/01/aa-couple-valentines-day.jpg)
Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za simu hapo juu naamini suluhisho litapatikana.
Mpenzi msomaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2Df4rMNT7fa5oFwQ5pwLoXFZK703aUYIwYCmJd-R93bRhC*p8irWzGyLtHS7lX*4PgdsweC30NkHG-U13XUg1H/Love.jpg)
KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?
Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu. Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Namna gani unaweza kuwa umbali wa mita mbili
Watu wameshauriwa kuwa umbali wa mita mbili ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona. Lakini unawezaje kujua upo umbali wa mita mbili na mwingine?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania