Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msofe adai mkutano TBF ni batili

>Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF), Alexandar Msofe amedai kuwa mkutano wa bodi unaoanza leo mkoani Dodoma ni batili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Masha adai mashtaka dhidi yake ni batili

ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka aliyofunguliwa ni batili.

 

11 years ago

Mwananchi

Uongozi wa sasa BFT batili

Uongozi wa sasa wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini (BFT) ni batili kutokana na kuhirikishwa kwa wajumbe wasiokuwa na sifa ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana na wa mwaka huu katika nafasi ya urais.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumatra: Mikataba ya madereva batili

>Imeelezwa kuwa mikataba mingi ya ajira ya madereva wa malori na mabasi nchini ni batili kwa kuwa haikidhi vigezo vya sheria zinazosimamiwa na Wizara ya Kazi na Ajira.

 

9 years ago

Habarileo

Wahojiwa kwa kuhamasisha maandamano batili

JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewashikilia kwa mahojiano Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Zeno Nkoswe, viongozi wengine wawili wa chama hicho, pamoja na wanachama watano kwa kuhamasisha maandamano yaliyokatazwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dosari gani hiufanya ndoa kuwa batili?

DUNIANI kote ndoa ni taasisi ya muhimu katika maisha ya kila mwanadamu, ni kitu ambacho hakikwepeki katika hatua ya maisha ya  binadamu hasa aliye kamilifu. Kutokana na umuhimu wake huo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…

Uamuzi uliofanywa na Papa Francis Jumanne  ya wiki hii kuanzisha mchakato wa kurahisisha wanandoa kuachana kwa talaka au ndoa kutenguliwa, umeshangaza wengi.

 

11 years ago

TheCitizen

Let’s help TBF make EA tourney a success

It is only eight days to this year’s East Africa Inter-Cities Basketball Championship at the National Indoor Stadium in Dar es Salaam, yet very little appears to have been done on the ground.

 

11 years ago

TheCitizen

NBL to tip off in April, TBF says

National Basketball League (NBL) will tip off in early April in Dodoma, the Tanzania Basketball Federation (TBF) disclosed yesterday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi TBF waingia dosari

WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani