Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCL yatunukiwa kwa kuhamasisha ulipaji kodi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), jana ilitunukiwa cheti cha ushindi wa kuhamasisha jamii kulipa kodi ya Serikali kwa mwaka 2014 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa

_MG_0836

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi  ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.

Hayo yamesemwa jana  jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

TRA yahamasisha ulipaji kodi kwa hiari

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema kwa mwezi inakusanya  takriban Sh. bilioni 900 kutokana na mapato ya kodi nchini.

Mkuu wa Utafiti katika Idara ya Utafiti na Sera TRA, Happyson Nkya, alisema hayo kwenye Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam.

Alisema ukusanyaji huo wa mapato umetokana na kujiimarisha katika kutoa huduma na mikakati mbalimbali ya kukabiliana na wakwepa kodi.

“Baadhi ya watu wamekuwa wanakwepa kodi, ila kwa sasa tumejiimarisha kwa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA

Mkurugenzi  wa makampuni ya  Asas  Bw  Salim Abri  Asas  kushoto akipokea cheti  maalum kutoka kwa kaimu mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Letici Warioba  baada ya  kuibuka  mshindi wa kwanza katika  ulipaji kodi mkoa wa Iringa leo.Meneja  wa TRA mkoa wa Iringa Rosalia Mwenda akimpongeza  Bw  Asas  kwa ushindi katika ulipaji kodi Cheti  kilichotolewa kwa  kampuni ya Asas Salim Asas  akionyesha  cheti kwa wanahabari  baada ya  kukabidhiwa  cheti  hicho kwa kuwa mlipaji  kodi mzuri.
KWA HABARI ZAIDI...

 

10 years ago

Habarileo

Shein asisitiza ulipaji kodi

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo wa ulipaji kodi wawatesa wafanyabiashara

Umoja wa Wafanyabiashara Tanzania umeiomba Serikali kuboresha mfumo wa utozaji kodi kwa kutumia Mashine za Kieletroniki za Malipo (EFD) kwa kuwa makato wanayokatwa hayalingani na thamani ya ununuzi wa bidhaa husika.

 

10 years ago

StarTV

Elimu ulipaji kodi yachangia migomo wafanyabiashara.

Na Zephania Renatus,

Kilimanjaro.

 

Ukosefu wa elimu juu ya sheria ya ulipaji kodi kwa wafanyabiashara ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha migomo ya mara kwa mara ya wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini.

 

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amesema hayo mjini Moshi katika mkutano na wafanyabiashara na uongozi wa Mamlaka ya Mapato TRA mkoani humo uliolenga kujadili kero mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara.

 

Miongoni mwa changamoto zinazowakabili...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAWA KINARA ULIPAJI KODI TANZANIA

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, akikabidhi Kombe la mshindi wa Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Alois Qande, wakati wa maadhimisho ya nane ya mlipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, Dar es Salaam hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Wagombea watakiwe kuonyesha rekodi ya ulipaji kodi

Kama kuna jambo ambalo linatia doa mchakato mzima wa kuwapata viongozi wa ngazi za juu katika nchi yetu, jambo hilo ni mifumo iliyopo kufumbia macho umuhimu wa wagombea uongozi wa kisiasa katika ngazi hizo kuonyesha rekodi yao ya ulipaji wa kodi za Serikali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TRA yataka elimu ya ulipaji kodi itolewe shuleni

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchini wakiandaliwa vizuri kwa kuwapati elimu ya kodi, taifa litapata walipakodi walio waadilifu. Mkurugenzi wa Huduma na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani