Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa mafuta Nigeria afukuzwa kazi

Rais wa Nigeria amfukuza kazi mkuu wa shirika la mafuta la taifa pamoja na manaibu wake watatu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi

BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanasheria wa Zanzibar afukuzwa kazi

omo

Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu Ameir Kificho, (Kulia) na Mwanasheria Mkuu wa nchi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman (mwenye suti ya kijivu), wakitokea mlango  wa nyuma wa jengo la bunge hivi karibuni, baada ya kutishiwa kupigwa na wajumbe wa bunge hilo la katiba kutoka nchini Zanzibar. Mhe. Masoud alipigia kura ya HAPANA rasimu inayopendekezwa kuwa katiba mpya ya nchi mbili Tanganyika.

Na Mwandishi wetu

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa...

 

9 years ago

Habarileo

Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi

JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alan Ivrine afukuzwa kazi West Brom

Timu ya West Brom imemfuta kazi kocha wake Alan Ivrine ambaye amekuwa na klabu hiyo kwa miezi saba tangu apate kibarua hicho.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwalimu afukuzwa kazi kwa kumshabikia Lowassa

Na Ramadhan Libenanga, Morogoro

MWALIMU wa Shule ya Sekondari Charlotte katika Manispaa  ya Morogoro, Heriman Manase anadaiwa kuachishwa  kazi  akituhumiwa kujihusisha na masuala ya siasa kwa kumshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na vyama vilipo kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Inadaiwa kwamba mwalimu huyo alikuwa akimpigia  debe Lowassa,  ndani  na nje ya shule hiyo.

Mwalimu huyo pia...

 

10 years ago

Mtanzania

Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...

 

11 years ago

Bongo5

Fellipe Scorali afukuzwa kazi ya kuinoa timu ya Brazil

Kocha wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari amefukuzwa kazi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Shirikisho la Soka la Brazil (CBF) limetangaza kuwa halita mwongezea mkataba mpya Luiz Felipe Scolari wa kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa […]

 

9 years ago

StarTV

Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa

Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.

Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...

 

10 years ago

Habarileo

Afukuzwa kazi kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa maabara

MTENDAJI wa Kata ya Kinungu katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Velilian Mapalala amefukuzwa kazi kwa tuhuma za kutokaa katika kituo chake cha kazi na kushindwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya maabara katika kata hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani