Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fellipe Scorali afukuzwa kazi ya kuinoa timu ya Brazil

Kocha wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari amefukuzwa kazi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Shirikisho la Soka la Brazil (CBF) limetangaza kuwa halita mwongezea mkataba mpya Luiz Felipe Scolari wa kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL

Kocha mpya wa Brazil, Dunga. Mchezaji wa zamani wa Brazil, Carlos Caetano Bledorn Verri 'Dunga', amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Brazil baada ya kocha Luiz Felipe Scolari kujiuzulu. Dunga amepewa kikosi hicho kilichoboronga katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 iliyofanyika nyumbani kwao huku timu hiyo ikiambulia nafasi ya nne. Kikosi hicho pia kilipata dhahama baada ya kipigo cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe...

 

9 years ago

Bongo5

Arturo Vidal afukuzwa na kocha wa timu ya taifa ya Chile kwa ulevi

Mchezaji wa timu ya taifa ya Chile na klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani, Arturo Vidal amefukuzwa na kocha wake, Jorge Sampaoli. Timu ya taifa ya Chile ipo kwenye maandalizi ya kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Paraguay. Wachezaji wote wapo kambini na wanaendelea na mazoezi lakini Vidal aliripoti kwenye kambi ya timu ya hiyo […]

 

10 years ago

Bongo5

David Moyes akamata kazi ya kuinoa Real Sociedad

Kocha wa zamani wa Manchester, David Moyes ametajwa kuwa meneja mpya wa klabu ya Hispania, Real Sociedad. Hiyo ya kwanza tangia atimuliwe kama meneja wa United mwezi April mwaka huu baada ya kufanya kazi kwa miezi 10. Moyes amechukua nafasi ya Jagoba Arrasate, aliyeachishwa kazi na Sociedad kutokana na kuwa na matokeo mabaya. Raia huyo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanasheria wa Zanzibar afukuzwa kazi

omo

Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu Ameir Kificho, (Kulia) na Mwanasheria Mkuu wa nchi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman (mwenye suti ya kijivu), wakitokea mlango  wa nyuma wa jengo la bunge hivi karibuni, baada ya kutishiwa kupigwa na wajumbe wa bunge hilo la katiba kutoka nchini Zanzibar. Mhe. Masoud alipigia kura ya HAPANA rasimu inayopendekezwa kuwa katiba mpya ya nchi mbili Tanganyika.

Na Mwandishi wetu

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtimua kazi Mwanasheria Mkuu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi AICC afukuzwa kazi

BODI ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa (AICC) Arusha imemtimua kazi Mkurugenzi wa Miliki na Miradi wa kituo hicho, Paul Ndosa kwa ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za shirika hilo la umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa mafuta Nigeria afukuzwa kazi

Rais wa Nigeria amfukuza kazi mkuu wa shirika la mafuta la taifa pamoja na manaibu wake watatu

 

9 years ago

Habarileo

Trafiki anayehusishwa na rushwa afukuzwa kazi

JESHI la Polisi mkoani Tanga limemfukuza kazi kwa kosa la fedheha aliyekuwa askari wake katika Kikosi cha Usalama Barabarani, Koplo Anthony Temu (46) wa Kituo cha Polisi Kabuku wilayani Handeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alan Ivrine afukuzwa kazi West Brom

Timu ya West Brom imemfuta kazi kocha wake Alan Ivrine ambaye amekuwa na klabu hiyo kwa miezi saba tangu apate kibarua hicho.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwalimu afukuzwa kazi kwa kumshabikia Lowassa

Na Ramadhan Libenanga, Morogoro

MWALIMU wa Shule ya Sekondari Charlotte katika Manispaa  ya Morogoro, Heriman Manase anadaiwa kuachishwa  kazi  akituhumiwa kujihusisha na masuala ya siasa kwa kumshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na vyama vilipo kwenye mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Inadaiwa kwamba mwalimu huyo alikuwa akimpigia  debe Lowassa,  ndani  na nje ya shule hiyo.

Mwalimu huyo pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani