Askari shupavu wa kike atunukiwa nishani
RAIS Jakaya Kikwete ametunuku watu 42 nishani akiwamo askari wa kike, Koplo Laura Mushi (32) kwa ushupavu alioonesha baada ya kupambana na kujiokoa dhidi ya majambazi waliomvamia hivi karibuni katika kituo cha ulinzi Mikumi, Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Warioba atunukiwa nishani iliyotukuka
10 years ago
Habarileo11 Dec
Muuza chipsi atunukiwa nishani ya ushupavu
MUUZA chipsi wa Dar es Salaam, Kassim Said (28), alivuta hisia za waalikwa na viongozi mbalimbali akiwemo Rais Jakaya Kikwete, juzi jioni kwenye sherehe za kutunuku nishani, baada ya kupewa Nishani ya Ushupavu, aliouonesha baada ya kumpiga jambazi kwa chepe na kufanikisha kukamatwa kwake.
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Askofu wa kanisa la FPCT Singida mjini Paulo Samwel Njoghomi, atunukiwa nishani ya heshima ya udaktari
Maandamano ya sherehe ya kutunukiwa nishani ya heshima ya udaktari Askofu Paulo Samwel Njoghomi (mwenye miwani) wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida mjini. Nishani hiyo imetolewa na Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone.
![DSC07112](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC07112.jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATUNUKIWA NISHANI YA BALOZI BORA WA AFRIKA BRUSSELS
10 years ago
Habarileo09 Mar
Askari Oysterbay atunukiwa Tuzo ya Mwanamke bora
ASKARI wa kituo cha Polisi Oysterbay, Inspekta Prisca Komba ametunukiwa Tuzo ya Mwanamke Bora wa mwaka kwa mwaka huu kutokana na harakati zake za kusaidia haki za wanawake hasa kupitia dawati la jinsia kituoni hapo.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_nK2pDc1jOg/VPa1rYaMoFI/AAAAAAAApZo/9SM29-kxEBg/s72-c/trafiki%2B%283%29.jpg)
ASKARI POLISI WA KIKE AVULIWA NGUA NA KUACHWA MTUPU, UKO MKOANI SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-_nK2pDc1jOg/VPa1rYaMoFI/AAAAAAAApZo/9SM29-kxEBg/s640/trafiki%2B%283%29.jpg)
Waliopandishwa kizimbani mbele ya...
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
10 years ago
Habarileo12 Nov
Mwamunyange: Rais Kikwete ni shupavu
MKUU wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange amemsifu Rais Jakaya Kikwete akisema ni shupavu, huku akiwataka vijana waogope kupotoshwa kimawazo na kifikra ili wawe wazalendo.