Askari Oysterbay atunukiwa Tuzo ya Mwanamke bora
ASKARI wa kituo cha Polisi Oysterbay, Inspekta Prisca Komba ametunukiwa Tuzo ya Mwanamke Bora wa mwaka kwa mwaka huu kutokana na harakati zake za kusaidia haki za wanawake hasa kupitia dawati la jinsia kituoni hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K5so_1ymcaE/Vhu4WiEjn_I/AAAAAAAH_fU/8HKiBHdi40o/s72-c/New%2BPicture.png)
PROFESA NDULU, ATUNUKIWA TUZO YA GAVANA BORA AFRIKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-K5so_1ymcaE/Vhu4WiEjn_I/AAAAAAAH_fU/8HKiBHdi40o/s1600/New%2BPicture.png)
Tuzo hiyo inayojulikana kama ‘Central Bank Governor of the Year’ ilitolewa na taasisi ya Africa Investor (Ai) jijini New York, Marekani hivi karibuni katika mkutano wake wa nane uliohudhuriwa na zaidi watu 250 maarufu katika biashara, serikali, maendeleo, sekta ya fedha na wakuu wa nchi tano za Afrika.
Prof. Ndulu aliibuka kidedea kwa kuwashinda magavana wa benki...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qhKW0kVo_sU/VHQHVGFuSOI/AAAAAAAGzPU/w2et6afDrSk/s72-c/3d6cOmari-Issa.jpg)
Mtendaji Mkuu BRN Bw. Omar Issa atunukiwa tuzo ya Mbia Bora wa Mwaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhKW0kVo_sU/VHQHVGFuSOI/AAAAAAAGzPU/w2et6afDrSk/s1600/3d6cOmari-Issa.jpg)
11 years ago
GPL30 Mar
11 years ago
GPLUSIKU WA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/2014
11 years ago
Michuzi28 Mar
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
![](http://api.ning.com/files/omkt7cwbhXIGJdrSzYbl4b2JtZi7DuZX12GklObLgwfTpS4Kr3YxNXKnXl50sot8cThal3qFniL*GksSlX0LrzpJIyBDr6kt/chawote.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/zJhtpPf9KP0Z76i-sTOMjzyEKuJBSli2ds8UXOKO9bttC0o8bv4N7xNigMxKA6a3COdl0yBkdicERTKPPFXU-v7aJ7YKIpas/PINDA.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...