Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIBI MJASIRIAMALI WA MAKOPO AENDESHA MAISHA DAR

Makopo yakiwa eneo la nyumba ya bibi huyo ambaye anaonekana kwa mbali akiondoka baada ya kuongea na paparazi wetu. Eneo karibu lote la nyumba hiyo likiwa limezungukwa na makopo. KAMERA ya Global leo ilinasa harakati za ujasiriamali za bibi mmoja maeneo ya Kimara-Suka jijini Dar es Salaam ambako anakusanya makopo na kuyauza  kwa ajili ya kuendesha maisha yake kiufasaha zaidi bila ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TASAF YABORESHA MAISHA YA BIBI WA MIAKA 90 CHUNYA


Na James K. Mwanamyoto – Chunya
Bibi mwenye umri wa miaka tisini, mkazi wa kijiji cha Mapogoro wilayani Chunya ambaye ni Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) Rozina Bilia Mwambogo, ameboresha maisha yake kwa kujenga nyumba ya kuishi, kujishughulisha na kilimo na mazao ya chakula ikiwa ni pamoja na kufuga nguruwe.
Bibi Mwambogo ametoa ushuhuda wa kuboresha maisha yake kupitia TASAF wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...

 

10 years ago

Mwananchi

MADHARA: Kucha za bandia zagharimu maisha ya bibi harusi

>“Sijui walitumia gundi ya aina gani kumbandikia kucha mwanangu, mpaka sasa sielewi, mtoto mwenyewe ndiyo huyo huyo mmoja wa kike niliyekuwa nikimtegemea na ndiyo kwanza ndoa yake bado change kabisa hata mwezi mmoja haina, huu ni mtihani mkubwa kwangu na kwa mumewe ambaye wamefunga naye ndoa wiki tatu zilizopita, inauma sana lakini tunamwachia Mungu.”

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?

Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar

 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong’o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na ujasiliamali na kuunda vikundi mbalimbali ili kujiendeleza kiuchumi. IMG_0018 Mmoja wa wajasiriamali ambaye pia ni Mkulima na Mfugaji akichangia uzoefu wake wa jinsi alivyo nufaika na mafunzo kama haya na mpaka sasa anajitegemea na Kupata kipatochake na kuwasaidia wengine. Wa kwanza Kulia ni Stella...

 

10 years ago

Michuzi

WENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR

Kilimo na Ufugaji wa Kisasa kwa maendeleo ya Jamii na kukataa umasikini kwa kujiajili ndiyo kauli kuu iliyotawala katika Semina ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa iliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo washiriki walipata mafunzo na Elimu Bora juu ya Kilimo bora cha kisasa pamoja na ufugaji Semina iliyo ongozwa na Mjasiriamali mwanamke ambaye amethubutu Bi. Mary David Kinong'o.
Katika Semina hiyo kulikuwa na mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kilimo cha kisasa cha kutumia Green houses ambapo...

 

11 years ago

Mwananchi

Bibi anaswa amebeba ‘unga’ Uwanja wa Ndege Dar

Bibi mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

 

10 years ago

Michuzi

Shamba la Bibi na Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam toka angani

Uwanja wa Uhuru Maarufu kama "Shamba la Bibi" ukiwa kushoto mwa Uwanja Mkuu wa Taifa ambao bado haujapewa jina rasmi unavyoonekana leo baada ya kuwekwa paa upande wa "Urusi".Haijajulikana bado lini utaanza kutumika na kuupumzisha Uwanja wa Taifa ambao ndilo kimbilio la shughuli karibu zote za michezo  na za jamii.

 

11 years ago

GPL

Marehemu Changa aliokotwa na muuza makopo

Mchezaji wa zamani wa Yanga, JKT Ruvu na Moro United ambako alikuwa akiichezea hivi sasa Omary Changa amefariki dunia. (Picha: Omary Changa ni wa tatu kutoka kushoto waliosimama, hapa akiwa anaichezea JKT Ruvu) Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
MAREHEMU Omari Changa aliyefariki dunia Jumapili iliyopita ambapo gazeti hili lilikuwa la kwanza kuripoti, imeelezwa kuwa mwili wake uligundulika tangu asubuhi ya siku… ...

 

9 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA DADA, MAMA, BIBI BETTISHEBA KETANG'ENYI MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR

Mtoto wa marehemu Frederick Ketang'enyi akiwa amebeba msalaba katika makaburi ya Kinondoni kwenye mazishi ya mpendwa mama yake yaliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 jijini Dar.Wanafamilia wakiwa wamebeba jeneza lililobeba mwili wa mpendwa dada, mama bibi Bettisheba Ketang'enyi katika kumpumzisha katika nyumba yake ya milele kulikofanyika siku ya Jumamosi Octoba 10, 2015 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Padri akiongoza ibada ya mazishi katika makaburi ya Kinondoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani