Shamba la Bibi na Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam toka angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-mho3iXQWZ3E/VNX41uzHDhI/AAAAAAAHCV0/os9wcy76dUU/s72-c/0L7C1936.jpg)
Uwanja wa Uhuru Maarufu kama "Shamba la Bibi" ukiwa kushoto mwa Uwanja Mkuu wa Taifa ambao bado haujapewa jina rasmi unavyoonekana leo baada ya kuwekwa paa upande wa "Urusi".Haijajulikana bado lini utaanza kutumika na kuupumzisha Uwanja wa Taifa ambao ndilo kimbilio la shughuli karibu zote za michezo na za jamii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA TAMASHA LA KULIOMBEA TAIFA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU YA KAMILIKA LITAFANYIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, OKTOBA 4, 2015
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIIBUGIZA SIMBA 1-0, UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-upxyNIq9zHI/XmU1WlKgb8I/AAAAAAACIXY/L7LvL_NTmK04AWjg1dSw8oMWRZIbqlNPwCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-768x512.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIICHAPA 1-0 SIMBA SC UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s640/1AA-4-768x512.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wakiwapungia mkono wa salamu kwa Wapenzi nan a Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba Uliochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Machi 08, 2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi wa goli moja kwa Yanga...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s72-c/f1.jpg)
libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s1600/f1.jpg)
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii
10 years ago
GPLMKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Tamasha la kuliombea Taifa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba 4, 2015 uwanja wa Taifa jijini Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotion ambayo inaandaa matamasha mbalimbali kama lile la Pasaka na Chrismas, ambaye ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Alex Msama, akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya Tamasha la kuliombea Taifa Amani kuelekea uchaguzi mkuu ambalo litafanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na baadaye mikoa mingine 12.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10