Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahitaji ya msingi ya biashara changa

Biashara inayoanza (biashara changa) ni tofauti kabisa na ile inayokua au iliyokua.Mahitaji ya msingi ya biashara hizi katika mchakato wa hatua za maendeleo yake, ndivyo vitu muhimu vinavyotofautisha biashara moja iliyo katika hatua ya mwanzo dhidi ya ile iliyo katika hatua ya pili au ya tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, kwa niaba yaya Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Abdallah Kigoda, akifungua Kongamano la uwezeshaji biashara baada ya mkutano mkuu wa Bali kwa nchi changa linalofanyika Mkoani Mwanza, Mei 16 hadi 16, 2014. Meza kuu katika Kongamano hilo. Viongozi Wakuu katika Kongamano hilo, Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mtangamano wa Biashara Bw Lucas Saronga, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo, Profesa Francis...

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara

Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA KUANZIA TAREHE 14 MPAKA 16 MEI, 2014-MWANZA.

Mkutano Mkuu wa 9 Ngazi ya Mawaziri katika Shirika la Biashara la Dunia “World Trade Organization (WTO)” uliofanyika kutoka tarehe 3 hadi 6 Desemba, 2013 katika mji wa Bali, Indonesia uliazimia kuboresha taratibu za kiforodha ili zifanyike kwa haraka na ufanisi mkubwa kuliko ilivyo ilivyo sasa kupitia ushirikiano kati ya mamlaka za forodha za nchi wanachama.

Makubaliano hayo pia yamechukua mahitaji ya Nchi zinazoendelea na zile zilizo changa kama vile Tanzania kwa kubeba misimamo ya msaada...

 

9 years ago

Michuzi

Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika  eneo la Victoria jijini Dar es salaam  kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Nyumba  (NHC),...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI MPILIPILI KWENYE KITENGO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM NA PIA MATAWI YA CCM LINDI MJINI

 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akimsikiliza mtoto mwenye mahitaji maalum Mohammed Hashim aliyeweza kuimba vizuri wimbo wa Taifa. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza mtoto Mohammed Hashim mara baada ya kuimba wimbo wa Taifa.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki kufundisha darasa la wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma katika Shule ya Msingi Mpilipili huko Lindi tarehe 11.2.2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na...

 

9 years ago

Dewji Blog

PINDA aweka jiwe la msingi jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC jijini Dar

IMGS8031

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika  eneo la Victoria jijini Dar es salaam  kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS8032

Mkurugenzi Mkuu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

CUF: Ahadi ya JK ‘changa la macho’

Chama cha Wananchi (CUF) kimekosoa ahadi ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kuanza kutoa elimu bure nchi nzima kuwa ni propaganda za kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Eneo changamani changa la macho?

Mwezi Julai mwaka jana, Serikali ya China iliikabidhi rasmi Serikali ya Tanzania Uwanja wa Taifa uliopo Dar es Salaam, ambao umejengwa kwa ubia kati ya Serikali hizo mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani