PINDA aweka jiwe la msingi jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC jijini Dar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika eneo la Victoria jijini Dar es salaam kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mkurugenzi Mkuu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yrfSE-I94MQ/VhY5COYvkcI/AAAAAAAH9sc/g6hUQ74HrKA/s72-c/nhc66.jpg)
JK AWEKA JIWE LA MSINGI LA JENGO LA MOROCCO SQUARE, AZINDUA FLETI ZA MINDU PLACE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yrfSE-I94MQ/VhY5COYvkcI/AAAAAAAH9sc/g6hUQ74HrKA/s640/nhc66.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p9KB14YZMqw/VhY4Qcfby2I/AAAAAAAH9sE/7RNTdMskL0Q/s640/nhc63.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NukZndf8CY4/VhY5e0lk9OI/AAAAAAAH9sk/D__xotvFtqQ/s640/nhc67.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-26Mx8B0r8fs/VhYuPQTOlEI/AAAAAAAH9mo/W271JUyDs7Q/s640/nhc25.jpg)
9 years ago
VijimamboNHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
GPLRAIS JAKAYA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA MOROCCO SQUARE JIJINI DAR
9 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI LA JENGO LA MOROCCO SQUARE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MtD9VS6Dszg/VRUp-w0n3oI/AAAAAAAAGug/G79Z_8MNQDA/s72-c/P3268891.jpg)
MHE. LUKUVI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA NYUMBA MPYA ZA MAKAZI ZA NHC MJINI SUMBAWANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MtD9VS6Dszg/VRUp-w0n3oI/AAAAAAAAGug/G79Z_8MNQDA/s1600/P3268891.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jun
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
![New Picture (7)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
![New Picture (2)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-2.png)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Waziri Mkuu Mizengo Pinda aweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za watumishi zililizojengwa na NHC Busokelo
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda akifungua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba za gharama nafuu za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo jana.
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa NHC, Haikamen Mlekio wakati akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu za watumishi wa Halmashauri ya Wialaya ya Busokelo, Mbeya.
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, akisalimiana na...