Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose

SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.

Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.

“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CUF: Ahadi ya JK ‘changa la macho’

Chama cha Wananchi (CUF) kimekosoa ahadi ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kuanza kutoa elimu bure nchi nzima kuwa ni propaganda za kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Eneo changamani changa la macho?

Mwezi Julai mwaka jana, Serikali ya China iliikabidhi rasmi Serikali ya Tanzania Uwanja wa Taifa uliopo Dar es Salaam, ambao umejengwa kwa ubia kati ya Serikali hizo mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!

Nakumbukuka sehemu ya hotuba moja ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema kuna zuzu kauziwa almasi feki halafu anaondoka, alikuwa na almasi akadanganywa akaambiwa, almasi siyo hii, almasi ni hii. Kumbe ni chupa.

 

10 years ago

Mwananchi

Lema: Kinana amepigwa changa la macho Arusha

>Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwapokea viongozi wawili akisema wanatoka Chadema na kumtuhumu Mbunge wa Arusha, Godbless Lema kuwa anatumia madaraka yake kujinufaisha na mali za umma, mbunge huyo amejibu akisema: “Kinana amepigwa changa la macho.”

 

10 years ago

Mwananchi

KUSHUKA KWA SHILINGI: Bajeti hii ‘changa la macho’ - Wataalamu

>Kuendelea kuporomoka kwa thamani ya shilingi kumeifanya bajeti ya mwaka jana kuonekana kubwa ikilinganishwa na ya Bajeti ijayo endapo makadirio yake yatawekwa katika dola ya Marekani.

 

9 years ago

Habarileo

Simba haichomoki -Julio

KOCHA wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amesema Simba haitapata nafasi ya kutamba mbele yao katika mchezo ujao kwa kuwa wamejipanga kutoa kipigo kikali.

 

9 years ago

Habarileo

Simba wa kawaida sana - Julio

SARE ya bao 1-1 iliyopata timu ya Mwadui FC dhidi ya Simba imemkera kocha wake Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amesema Simba ni timu ya kawaida hivyo haikustahili sare. Kocha huyo ambaye aliwahi kuifundisha Simba alisema kuwa anaiona timu hiyo kuwa ni timu ya kawaida kwake kwa kuwa kwa sasa haina kabisa uwezo wa kucheza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julio naye aibuka Simba

WAKATI mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea uongozi katika Klabu ya Simba ukifungwa jana, aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ameibuka na kujitosa kuwania nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani