Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba wa kawaida sana - Julio

SARE ya bao 1-1 iliyopata timu ya Mwadui FC dhidi ya Simba imemkera kocha wake Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amesema Simba ni timu ya kawaida hivyo haikustahili sare. Kocha huyo ambaye aliwahi kuifundisha Simba alisema kuwa anaiona timu hiyo kuwa ni timu ya kawaida kwake kwa kuwa kwa sasa haina kabisa uwezo wa kucheza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Simba haichomoki -Julio

KOCHA wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amesema Simba haitapata nafasi ya kutamba mbele yao katika mchezo ujao kwa kuwa wamejipanga kutoa kipigo kikali.

 

9 years ago

Habarileo

Julio aitabiria mabaya Simba

KOCHA Mkuu wa Mwadui FC ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema Simba itapata tabu katika msimu mpya wa Ligi Kuu kwa kitendo chake cha kusajili kwa kukurupuka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julio naye aibuka Simba

WAKATI mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea uongozi katika Klabu ya Simba ukifungwa jana, aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ameibuka na kujitosa kuwania nafasi...

 

9 years ago

Global Publishers

Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose

SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.

Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.

“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...

 

9 years ago

Habarileo

Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?

TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida

WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni

Jenerali Ulimwengu

 

9 years ago

StarTV

Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio

BEKI JORAM MGEVEKE WA MWADUI FC AKIPAMBANA NA NAHODHA WA SIMBA, MUSSA HASSAN MGOSI KATIKA MECHI YA KIRAFIKI KWENYE UWANJA WA TAIFA ILIYOMALIZIKA KWA SARE YA BILA KUFUNGANA KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR. ANGALIA PICHA ZAIDI ZA ACTION…

 

 

9 years ago

Mtanzania

‘Niang bado sana Simba’

??????????????????NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.

Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...

 

10 years ago

Vijimambo

Simba laini sana kwa Mtibwa

Nahodha wa zamani na Taifa Stars,Mecky Mexime ambae kwa sasa anakiongoza kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.

Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani