Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN: Demokrasia imo mashakani DR Congo

Ripoti ya Shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa inasema kuwa vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu DRC vinafanya matumaini kuwepo kwa demokrasia kufifia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KUKAMATWA KWA PROFESA LIPUMBA: DEMOKRASIA IKO MASHAKANI

Ndugu zangu, hivi punde nimeongea na Maharagande Mbarala na Bonifasia Mapunda
wamenijulisha kuwa, Profesa Lipumba na Manaibu Wakurugenzi wawili wa Chama Cha Wananchi CUF (Shaweji Mketo na Abdul Kambaya), pamoja na walinzi wa Profesa Lipumba, wamekamatwa na polisi. Pia, nimeongea na mhe. Joram Bashange, Mkurugenzi wa Fedha wa CUF, tayari yuko Central Police lakini hajaruhusiwa kuwaona viongozi. Mawakili wa CUF wanaelekea polisi pia.

KUMBUKIZI YA MWAKA 2001
Ukamataji huo uliotumia nguvu kubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Yamoto Band — Imo

Vijana wa Yamoto Band wamechia wimbo mpya unaitwa “Imo”. Umeataarishwa na Producer Fraga kutoka Uprise Music Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Mwananchi

Masatu: Simba imo shimoni

 Beki wa zamani wa Simba, George Masatu amesema viongozi wa klabu hiyo wameitumbukiza timu yao shimoni na sasa inasubiri kufukiwa kutokana na kutokuwa na uamuzi na misingi mizuri ya timu kwa kuruhusu kutawaliwa na wachezaji wa kigeni.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria 33 kufumuliwa, imo ya Bodi ya Mikopo

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imepokea Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33, ambao pia utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima haivumi lakini imo

Ni miongoni mwa taasisi kongwe za elimu nchini zilizovuma kwa kiwango kikubwa miaka ya 1970 na 1980.

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majaji 34 Ghana mashakani

Jaji mkuu wa Ghana amehutubia nchi kuhusu kashfa kubwa ya rushwa dhidi ya majaji

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana wako mashakani

Inasononesha! Vijana wetu hasa hawa wanaojiita ‘Mastaa’ au wengine wakipenda kujiita kwa kizungu kuwa ni ‘celebrities’ wamezuka na lipi jipya kwa kuitangaza nchi yetu huko duniani? Na je! Taifa linaelekea wapi na kwa minajili gani hasa?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani