Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima haivumi lakini imo
Ni miongoni mwa taasisi kongwe za elimu nchini zilizovuma kwa kiwango kikubwa miaka ya 1970 na 1980.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIo34SjbGVWPom89WbZ6GyezCV*zdPUIAaZ5IxeIJUxFao88FvgBA4WHhriRHlCCmixFPURc*ynrEX7t4gZ7lBR/140117_Engagement_028.jpg?width=650)
TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?
NIMEWAHI kukaa zaidi ya miezi sita bila kufika mjini. Wenye jiji lao wanakuambia Dar es Salaam mjini ni maeneo ya Posta, kule kwenye mitaa ya Ohio, Indira Ghandi, Samora, Sokoine, Zanaki, Azikiwe, Magogoni, Garden, Maktaba na kadhalika. Eti ukisema unaenda au ulikuwa mjini, basi mjanja anajua ndiyo kule, lakini vinginevyo sema nipo au nakwenda Mwenge, Magomeni, Kariakoo, Ilala, Temeke, Ubungo, Kigogo, Kigamboni, Kinondoni, Kawe,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dae-y9caMM9H3Y9pEwwirr51glk8C7*viDXwHhzxarpQAvtlovXFAohiAwzS1WrnZjS5ZUdYoBK2MgoGCeiDfXX/tcha.jpg?width=650)
TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?-2
Wiki iliyopita, niliweka mada ambayo niliwaomba wasomaji wote wenye nafasi kuchangia maoni yao juu ya kipi hasa kinachosababisha kuwepo kwa wingi kwa uhusiano wa kimapenzi baina ya wanafunzi (wa msingi, sekondari na vyuo) na watu wazima, ambao tayari ama wana uhusiano na wenza wao ambao siyo wanafunzi, au wameoa kabisa. Ni jambo la kushukuru kwamba wadau wengi walijitokeza na kutoa maoni yao juu ya chanzo cha tatizo hili. Kila...
10 years ago
GPLWATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI
Watoto (kulia) wakijiandaa kuvuka Barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam. Msamaria mwema akiwavusha barabarani wanafunzi. KUONGEZEKA kwa magari mijini kumekuwa ni tatizo kwa watoto, hususani wanafunzi, katika kuvuka barabara mbalimbali, ambapo watu wazima wana wajibu wa kusaidia kuwaongoza na kuwavusha ili kuepusha…
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima
Lakini je vijana wa siku hizi wanachukuliaje maisha ya kuanza kuwa mtu mzima?
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Nusu ya watu wazima nchi wanatumia simu kwa huduma za kifedha
Matokeo ya utafiti wa FinScope Tanzania 2013 uliozinduliwa mjini Dar es Salaam mwanzoni mwa mwezi huu, yanatoa mwanga kuhusu mitazamo ya watu na tabia kuhusu hali zao kifedha.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s72-c/IMG-20151217-WA0033.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-duQwwehNgfs/VnOIV5L3roI/AAAAAAABluc/5sHRvxT_AQ8/s640/IMG-20151217-WA0033.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B99AiZiI5Zw/VnOI1_L0E3I/AAAAAAABluk/tIlyS_lXpYo/s640/IMG-20151217-WA0031.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0stAYn98xlw/VnOJfkKsdeI/AAAAAAABlu0/fPNPbwMbK2Y/s640/IMG-20151217-WA0026.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini madereva wamezidi
Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa hakuna ajuaye labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini, madereva wamezidi
Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa, basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa, hakuna ajuaye, labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania