TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?
![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIo34SjbGVWPom89WbZ6GyezCV*zdPUIAaZ5IxeIJUxFao88FvgBA4WHhriRHlCCmixFPURc*ynrEX7t4gZ7lBR/140117_Engagement_028.jpg?width=650)
NIMEWAHI kukaa zaidi ya miezi sita bila kufika mjini. Wenye jiji lao wanakuambia Dar es Salaam mjini ni maeneo ya Posta, kule kwenye mitaa ya Ohio, Indira Ghandi, Samora, Sokoine, Zanaki, Azikiwe, Magogoni, Garden, Maktaba na kadhalika. Eti ukisema unaenda au ulikuwa mjini, basi mjanja anajua ndiyo kule, lakini vinginevyo sema nipo au nakwenda Mwenge, Magomeni, Kariakoo, Ilala, Temeke, Ubungo, Kigogo, Kigamboni, Kinondoni, Kawe,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dae-y9caMM9H3Y9pEwwirr51glk8C7*viDXwHhzxarpQAvtlovXFAohiAwzS1WrnZjS5ZUdYoBK2MgoGCeiDfXX/tcha.jpg?width=650)
TATIZO NI MADENTI AU WATU WAZIMA?-2
10 years ago
GPLWATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima haivumi lakini imo
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Nusu ya watu wazima nchi wanatumia simu kwa huduma za kifedha
11 years ago
MichuziTOTAL YAZINDUA AWANGO KUMALIZA TATIZO LA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WATU WA KIPATO CHA CHINI TANZANIA
10 years ago
Habarileo23 Mar
Kikwete, Kenyatta wazima mpasuko
RAIS Jakaya Kikwete na Uhuru Kenyatta wa Kenya wameingilia kati mgogoro uliopo baina ya mataifa hayo mawili kuhusu masuala ya usafirishaji na utalii.
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mtandao wa K.kazkazini wazima,ni kisasi?
11 years ago
Mwananchi01 Jun