Vijana wazima na wazee wazimu
Mheshimiwa Makengeza na utu uzima na uzee wako wote kwanza shikamoo!
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Fahamu kwa nini vijana wanaogopa kuwa watu wazima
10 years ago
GPL
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
10 years ago
Habarileo26 May
JK akerwa vijana nchini kutumika na wazee
TABIA ya vijana wa sasa ya kuchukua fedha kutoka kwa wazee na kuwagawia vijana wenzao ili kurahisisha mambo kwa wazee hao, imeonesha kumkera Rais Jakaya Kikwete.
11 years ago
BBCSwahili01 Nov
Utafiti:Ni sawa kwa wazee kuwa na vijana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Vijana wanaotaka uongozi wanaukana ushirika wao na wazee?
KIASI cha kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Bukoba. Nikaenda sehemu inaitwa Bukoba Club kutafuta mlo wa mchana. Wakati nikisubiri mlo wangu, alikuja mtoto mmoja mvulana aliyeniambia ana miaka kumi...
11 years ago
Michuzi16 Jul
WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU


Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.
Alisema kuwa ,...
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA NA MECHI YA VIJANA NA WAZEE DMV MAY 23 MEADOWBROOK PARK
Siku ya Jumamosi May 23, 2015 kutafanyika mechi kati ya wazee na vijana itakayokwenda sambamba na nyama choma katika viwanja vya Meadowbrook Park 7901 Meadowbrook Lane Chevy Chase, MD 20815.
Kwa wachezaji timu ya Wazee tafadhali wasiliana na nahodha wa timu Mude 202 644 1829
na kwa timu ya Vijana wasiliana na Yusuf 202 710 9019
10 years ago
StarTV08 Sep
Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.
Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.
Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.
Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...
10 years ago
GPL
SABABU YA WANANDOA VIJANA KUHAMIA KWA WAZEE HII HAPA