Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.
Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.
Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.
Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV05 Oct
Maendeleo duni ya elimu Jamii yadaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa
Sekta ya elimu wilayani Geita inakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazorudisha nyuma maendeleo ya sekta jamii ikidaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kutokuwa na utayari wa kushirikiana na Serikali kuondoa mapungufu yaliyoko ndani ya uwezo wao.
Utafiti uliofanywa na shirika la Nelico kwa ufadhili wa Pestalozzi Children’s Foundation imebaini mazingira yasiyo rafiki kama ubovu wa miundombinu, ukosefu wa vyoo bora na upungufu wa madawati na vyoo bado kikwazo kikubwa ambacho...
10 years ago
Bongo513 Nov
Kamati ya Miss Tz yadaiwa kushindwa kukamilisha mahitaji ya Happiness kwenda Miss World
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Serikali yakiri kushindwa kudhibiti vifo vya wajawazito
SERIKALI imekiri kushindwa kudhibiti kwa kiwango kikubwa vifo vya wajawazito nchini jambo linalohatarisha zaidi maisha ya wanawake na kushindwa kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia ifikapo mwaka 2015. Kauli...
9 years ago
StarTV26 Sep
Hofu yasababisha Albino kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Watu wenye ulemavu wa ngozi Albino mkoani Mara wamesema licha ya kuwa na haki ya kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wamekuwa wakikosa fursa hiyo kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.
Wamesema licha ya Serikali na vyombo vingine kukemea vitendo wa kikatili wanavyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi ikiwemo kutekwa na kuuawa kikatili na kisha kunyofolewa baadhi ya viungo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza vitendo hivyo...
10 years ago
Habarileo28 Oct
Wanaume wadaiwa kuchangia vifo vya wajawazito
BAADHI ya vifo vya wajawazito vimebainika chanzo chake kuwa kwenye jamii hususani vijijini, kutokana na baadhi ya wanaume ama kuwatelekeza au kutowajali wawapo katika hali hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIs8CdWaxsT0*B3XmcItLQ1a7qotMMjXWmIAkiGtRigLXnQ4UyeBtdXXFno4ozbA9*AdIMiV2x6PQlZiEzBj6pIM/wanajeshi.jpg)
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM
9 years ago
StarTV17 Aug
MAUAJI YA WAZEE: Ramli, mirathi, ushirikina vyatajwa kuchangia
Imani za kishirikina, ramli chonganisha, mirathi, ardhi, mihemuko ya Imani za mapepo kwa baadhi ya Imani za dini pamoja na kukosekana kwa elimu ya afya katika maeneo ya vijijini kunasababisha wanawake wazee kuuwawa kwa kukatwa mapanga kwa kutuhumiwa kuwa ni wachawi
Hayo yamebainika katika semina ya kujadili chanagamoto zinazowakabili wazee wa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na kuangalia mswaada wa sheria ya wazee utakaowawezesha kupata mahitaji yao ya lazima ili weweze kuishi maisha bora...
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Hofu ilichangia vifo ndani ya feri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/LAl787uzrCCfK3zrV0j*I6DTX3VQYjeVRgjFvkx8-62CGf6b-hS92eScXQ538lO5y7oDmZwPn2K8GwIb6HMnlMWNF5ZuLN6q/davina.jpg)
VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA