Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.

 

Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.

Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.

 

Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Maendeleo duni ya elimu Jamii yadaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa

Sekta ya elimu wilayani Geita inakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazorudisha nyuma maendeleo ya sekta jamii ikidaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kutokuwa na utayari wa kushirikiana na Serikali kuondoa mapungufu yaliyoko ndani ya uwezo wao.

Utafiti uliofanywa na shirika la Nelico kwa ufadhili wa Pestalozzi Children’s Foundation imebaini mazingira yasiyo rafiki kama ubovu wa miundombinu, ukosefu wa vyoo bora na upungufu wa madawati na vyoo bado kikwazo kikubwa ambacho...

 

10 years ago

Bongo5

Kamati ya Miss Tz yadaiwa kushindwa kukamilisha mahitaji ya Happiness kwenda Miss World

Mama mzazi wa Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa ameitupia lawama kamati ya Miss Tanzania kwa kushindwa kutimiza mahitaji ya mtoto wake ili kumwezesha kwenda kushiriki mashindano ya Miss World. Mshindi wa Miss Tanzania 2013 Happyness Watimanywa akiwa na Mama yake mzazi Akizungumza na E-newz wa Eatv leo, Mama Happiness amesema amekuwa akifatilia kwa kamati hiyo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kushindwa kudhibiti vifo vya wajawazito

SERIKALI imekiri kushindwa kudhibiti kwa kiwango kikubwa vifo vya wajawazito nchini jambo linalohatarisha zaidi maisha ya wanawake na kushindwa kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya Milenia ifikapo mwaka 2015. Kauli...

 

9 years ago

StarTV

Hofu yasababisha Albino kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni.

 

Watu wenye ulemavu wa ngozi Albino mkoani Mara wamesema licha ya kuwa na haki ya kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wamekuwa wakikosa fursa hiyo kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.

Wamesema licha ya Serikali na vyombo vingine kukemea vitendo wa kikatili wanavyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi ikiwemo kutekwa na kuuawa kikatili na kisha kunyofolewa baadhi ya viungo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza vitendo hivyo...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaume wadaiwa kuchangia vifo vya wajawazito

BAADHI ya vifo vya wajawazito vimebainika chanzo chake kuwa kwenye jamii hususani vijijini, kutokana na baadhi ya wanaume ama kuwatelekeza au kutowajali wawapo katika hali hiyo.

 

10 years ago

GPL

WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM

Wanajeshi hao wakiwa mbele ya Mahakama ya Kijeshi jijini Abuja nchini Nigeria. Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram. Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti. Mwanasheria wa wanajeshi hao...

 

9 years ago

StarTV

MAUAJI YA WAZEE: Ramli, mirathi, ushirikina vyatajwa kuchangia

 

Imani za kishirikina, ramli chonganisha, mirathi, ardhi, mihemuko ya Imani za mapepo kwa baadhi ya Imani za dini pamoja na   kukosekana kwa elimu ya afya katika maeneo ya vijijini kunasababisha wanawake  wazee kuuwawa kwa kukatwa mapanga kwa kutuhumiwa kuwa ni wachawi

Hayo yamebainika katika semina ya kujadili chanagamoto zinazowakabili wazee wa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na kuangalia  mswaada wa sheria ya wazee utakaowawezesha kupata mahitaji yao ya lazima ili weweze kuishi maisha bora...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu ilichangia vifo ndani ya feri

Habari zinaonyesha kulitokea hali ya wasiwasi kabla ya mkasa wa feri nchini korea kusini.

 

11 years ago

GPL

VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA

Stori: Hamida Hassan HOFU! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amewashauri wasanii kujikabidhi mikononi mwa Mungu kwani anaona jinsi wasanii wanavyozidi kupukutika. Halima Yahya ‘Davina’. Kuonesha msisitizo, Davina amewasihi wasanii wenzake kuacha kutumia pombe na kwa wale ambao wanatajwa katika ishu za usagaji, waache mara moja kwani Mungu anajidhirisha kila kukicha kwamba yupo na watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani