Hofu ilichangia vifo ndani ya feri
Habari zinaonyesha kulitokea hali ya wasiwasi kabla ya mkasa wa feri nchini korea kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/LAl787uzrCCfK3zrV0j*I6DTX3VQYjeVRgjFvkx8-62CGf6b-hS92eScXQ538lO5y7oDmZwPn2K8GwIb6HMnlMWNF5ZuLN6q/davina.jpg)
VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA
9 years ago
StarTV08 Sep
Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.
Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.
Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.
Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...
10 years ago
Habarileo18 Apr
Ajali tatu vifo 40 ndani ya siku sita
MSHITUKO wa matukio ya mfululizo ya ajali, umeendelea kugubika nchi, baada ya watu 20 kupoteza maisha katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace, iliyotokea jana wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHd-iHCFsLaxSgYRVJpmlFfr2W1dhaqoEqaVg5QofQ8Qf*rN8HkDwecQ2d8t8EXBCRECRjvflzolp1SZA6MrW5J/bwawa.jpg?width=650)
UNDANI VIFO VYA WATOTO 3 NDANI YA BWANA INASIKITISHA!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5xCdt_24PSc/VJVgQHV1W5I/AAAAAAAG4nE/QOQ3nzpFkIY/s72-c/DSCF1961.jpg)
mambo ya kushangaa feri....
![](http://3.bp.blogspot.com/-5xCdt_24PSc/VJVgQHV1W5I/AAAAAAAG4nE/QOQ3nzpFkIY/s1600/DSCF1961.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WxMlYggbD78/VJVldq4_vII/AAAAAAAG4nU/xrEMW4bCrcM/s1600/DSCF1963.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Daladala zakwama kwenda Feri
USAFIRI wa daladala za kwenda Kivukoni uliotarajiwa kuanza mwishoni mwa Julai, umeshindikana kutokana na barabara kutokamilika. Siku chache zilizopita Mamlaka ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), ilitangaza kurejesha...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Wavuvi Feri waiangukia serikali
WAVUVI wa soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, wameitaka serikali kuwatengea eneo maalum la kufanyia shughuli zao, baada ya kupewa agizo la kuhama. Hatua hiyo ya kuhamishwa,...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Lebanon ya Feri ni hatari kwa wafanyabiashara
ENEO la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri ambalo lipo jirani na Ikulu jijini Dar es Salaam limedaiwa kuwa ni hatari kwa wafanyabiashara wa soko hilo.
9 years ago
Habarileo10 Dec
Rais Magufuli asafisha Ikulu, Feri
UHURU na Kazi ndivyo ilivyokuwa jana nchini kote katika maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru, ambapo Rais John Magufuli aliudhihirishia Watanzania na ulimwengu wote kwamba kwake ni kazi tu, kwa kuongoza wananchi na wavuvi wadogo kufanya usafi nje ya Ikulu ya Dar es Salaam na eneo la Feri, Magogoni.