Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wavuvi Feri waiangukia serikali

WAVUVI wa soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, wameitaka serikali kuwatengea eneo maalum la kufanyia shughuli zao, baada ya kupewa agizo la kuhama. Hatua hiyo ya kuhamishwa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Jamii ya wafugaji waiangukia Serikali

Viongozi wa Kimila wa Jamii ya Wafugaji wa Kimasai wameiomba Serikali iwashirikishe katika mipango mbalimbali ya maendeleo na kuhamasisha amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wa pumba waiangukia serikali

WAJASIRIAMALI wa bidhaa za pumba na mashudu, jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kupunguza tozo kwa wafanyabisahara wanaonunua bidhaa zao na kupeleka nchi jirani ya Kenya. Wizara ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yawaonya wavuvi haramu

>Serikali imewaonya wavuvi na kuwataka mara moja kuacha matumizi ya baruti kuvua samani.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yawakabidhi wavuvi injini za boti kuboresha uvuvi nchini


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe injini ya boti iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kikundi cha wavuvi cha Kyela mkoani Mbeya wakati wa hafla ya makabidhiano ya injini hiyo leo jijini Dodoma.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa pili kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Mtwara Vijinini Hawa Ghasia (wa kwanza kulia) moja ya injini ya boti kati ya mbili...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yawasaidia Wavuvi wa Kijiji cha Kivunge

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetoa shilingi Milioni Nne ikiwa ni nusu malipo ya gharama ya shilingi milioni Nane ilizoahidi kutoa kwa ununuzi wa Mashua kwa ajili ya kufidia chombo cha Wavuvi wa Kijiji cha Kivunge kilichochomwa moto mwezi Januri mwaka huu wa 2014 katika Kisiwa cha Tumbatu.
Ikasisitiza tena na kuonya kwamba hilo litakuwa ni tukio la mwisho kubebwa na Serikali la kulipa fidia kwa migogoro yoyote itakayosababishwa na wana jamii katika maeneo mbali mbali kutokana na...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO


Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael

……………………………………………………………………………………..

Na. Edward Kondela

Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi waiangukia SSRA

ASKARI Polisi mkoani Arusha, wameiomba Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kuweka mazingira yatakayowawezesha kuhamisha mafao yao kutoka mfuko mmoja kwenda mwingine. Akizungumza katika warsha iliyoandaliwa...

 

10 years ago

Michuzi

mambo ya kushangaa feri....

Kamera yetu leo imemnasa mdau huyu akibadili pozz mbali mbali wakati akiendeleza mshangao kwenye vyombo vya majini vikiwa vinapita juu ya maji wakati yeye akitupa shilingi inazama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani