Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi waiangukia SSRA

ASKARI Polisi mkoani Arusha, wameiomba Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kuweka mazingira yatakayowawezesha kuhamisha mafao yao kutoka mfuko mmoja kwenda mwingine. Akizungumza katika warsha iliyoandaliwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi Feri waiangukia serikali

WAVUVI wa soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, wameitaka serikali kuwatengea eneo maalum la kufanyia shughuli zao, baada ya kupewa agizo la kuhama. Hatua hiyo ya kuhamishwa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wa pumba waiangukia serikali

WAJASIRIAMALI wa bidhaa za pumba na mashudu, jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kupunguza tozo kwa wafanyabisahara wanaonunua bidhaa zao na kupeleka nchi jirani ya Kenya. Wizara ya Maendeleo ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Jamii ya wafugaji waiangukia Serikali

Viongozi wa Kimila wa Jamii ya Wafugaji wa Kimasai wameiomba Serikali iwashirikishe katika mipango mbalimbali ya maendeleo na kuhamasisha amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawaonya waajiri

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewaonya waajiri na Mifuko ya Hifadhi nchini kutowalazimisha wafanyakazi kujiunga na mifuko wanayoitaka wao. Akitoa taarifa kwa umma...

 

10 years ago

Habarileo

SSRA yafafanua kanuni za mafao

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) imesema kanuni mpya za uainishaji wa mafao ya pensheni kwa wanaostaafu kwa hiari, una lengo la kulinda na kutetea maslahi ya wanachama.

 

11 years ago

Daily News

New SSRA board of directors picked


New SSRA board of directors picked
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Juma Ally Muhimbi as Chairman of the Board of Directors of the Social Security Regulatory Authority (SSRA) with effect from April 28. A statement issued in Dar es Salaam by the Ministry of Labour and ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawafunda waajiri Tabora

WAAJIRI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwachagulia watumishi kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na pia wameaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wao kwa wakati ili kuondoa usumbufu wanapostaafu. Akizungumza...

 

11 years ago

Habarileo

SSRA wadaiwa kukiuka haki za wafanyakazi

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeshauriwa kusitisha mchakato ulioanza wa mapendekezo ya kuimarisha mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA: Wasanii changamkieni mifuko ya jamii

WASANII nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili iweze kuwasaidia katika maisha yao ya sasa na ya baadaye. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani