Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mambo ya kushangaa feri....

Kamera yetu leo imemnasa mdau huyu akibadili pozz mbali mbali wakati akiendeleza mshangao kwenye vyombo vya majini vikiwa vinapita juu ya maji wakati yeye akitupa shilingi inazama.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala zakwama kwenda Feri

USAFIRI wa daladala za kwenda Kivukoni uliotarajiwa kuanza mwishoni mwa Julai, umeshindikana kutokana na barabara kutokamilika. Siku chache zilizopita Mamlaka  ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), ilitangaza  kurejesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi Feri waiangukia serikali

WAVUVI wa soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, wameitaka serikali kuwatengea eneo maalum la kufanyia shughuli zao, baada ya kupewa agizo la kuhama. Hatua hiyo ya kuhamishwa,...

 

9 years ago

Habarileo

Rais Magufuli asafisha Ikulu, Feri

UHURU na Kazi ndivyo ilivyokuwa jana nchini kote katika maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru, ambapo Rais John Magufuli aliudhihirishia Watanzania na ulimwengu wote kwamba kwake ni kazi tu, kwa kuongoza wananchi na wavuvi wadogo kufanya usafi nje ya Ikulu ya Dar es Salaam na eneo la Feri, Magogoni.

 

9 years ago

Habarileo

Lebanon ya Feri ni hatari kwa wafanyabiashara

ENEO la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri ambalo lipo jirani na Ikulu jijini Dar es Salaam limedaiwa kuwa ni hatari kwa wafanyabiashara wa soko hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu ilichangia vifo ndani ya feri

Habari zinaonyesha kulitokea hali ya wasiwasi kabla ya mkasa wa feri nchini korea kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Feri ya abiria 460 yashika moto Ugiriki

Amri imetolewa ya kuwataka abiria kuondolewa kwa ferry iliyo na karibu abiria 460 ambayo imeshika moto nchini Ugiriki

 

10 years ago

Tanzania Daima

TPB yatoa vifaa vya usafi Feri

KUTOKANA na uchafu uliokithiri katika soko la samaki Feri, Benki ya Posta Tanzania (TPB), imetoa msaada wa vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh. milioni nne. Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 50 ya Muungano yawa shubiri kwa wafanyabiashara Feri

“SHEREHE za  miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar   eti zitufanye tuondoke Feri, hatukubaliani na hilo. “Kuna mahusiano gani kati ya shughuli zetu za ukaangaji wa samaki ambao tumeufanya...

 

11 years ago

GPL

KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU

Feri ya Sewol ilipokuwa ikizama. Waziri Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won aliyejiuzulu.
WAZIRI Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia suala la feri iliyozama siku 11 zilizopita. Chung Hong Won amesema kuwa kubaki ofisini ni mzigo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani