Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala zakwama kwenda Feri

USAFIRI wa daladala za kwenda Kivukoni uliotarajiwa kuanza mwishoni mwa Julai, umeshindikana kutokana na barabara kutokamilika. Siku chache zilizopita Mamlaka  ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), ilitangaza  kurejesha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA

MADEREVA wa daladala wanaoegesha magari yao eneo la Ubungo, Darajani jirani na njia panda ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamegoma kwenda kituo kipya kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower. Madereva hao wameamua kuwashambulia wenzao walioonekana kutii amri kwa kuwavunjia vioo vya magari yao jambo lililopelekea polisi kuingilia kati kuwatuliza. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde! ...

 

9 years ago

GPL

LOWASSA APANDA DALADALA KWENDA GONGO LA MBOTO, DAR

Mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa Mh Edward Lowassa akiwa kwenye daladala kuangalia kero za wananchi maeneo ya Gongo la mboto kuelekea Chanika jijini Dar es Salaam leo. Akiongea na wananchi.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokozi zakwama upya Nepal

Watu 65 wameripotiwa kufariki kufuatia tetemeko lipya la ardhi lililotikisa Nepal hapo jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Juhudi za kuokoa mali Mtwara zakwama

Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendegu la kunusuru wananchi na mali zao kutokana na mafuriko yaliyotokea mkoani hapa, limeshindwa kutekelezeka kikamilifu kutokana na ukosefu wa vifaa vya uokoaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Juhudi za kuwaokoa waliokufa mgodini Nyangalata zakwama

Jitihada za kuwafukua wachimbaji saba waliokufa katika mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama zimegonga mwamba baada ya Serikali kudai shughuli ya kuwatoa itachukua miezi miwili.

 

10 years ago

Michuzi

mambo ya kushangaa feri....

Kamera yetu leo imemnasa mdau huyu akibadili pozz mbali mbali wakati akiendeleza mshangao kwenye vyombo vya majini vikiwa vinapita juu ya maji wakati yeye akitupa shilingi inazama.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi Feri waiangukia serikali

WAVUVI wa soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, wameitaka serikali kuwatengea eneo maalum la kufanyia shughuli zao, baada ya kupewa agizo la kuhama. Hatua hiyo ya kuhamishwa,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu ilichangia vifo ndani ya feri

Habari zinaonyesha kulitokea hali ya wasiwasi kabla ya mkasa wa feri nchini korea kusini.

 

9 years ago

Habarileo

Lebanon ya Feri ni hatari kwa wafanyabiashara

ENEO la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri ambalo lipo jirani na Ikulu jijini Dar es Salaam limedaiwa kuwa ni hatari kwa wafanyabiashara wa soko hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani