Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli za uokozi zakwama upya Nepal

Watu 65 wameripotiwa kufariki kufuatia tetemeko lipya la ardhi lililotikisa Nepal hapo jana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nepal kufungua upya vivutio vya watalii

Serikali ya Nepal imetangaza kuwa itafungua upya vivutio vya watalii vilivyoharibiwa na tetemeko la ardhi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mawimbi yatatiza uokozi Korea Kusini

Mawimbi makali na hali mbaya ya hewa baharini imetatiza juhudi za kuwatafuta takriban watu mia tatu baada ya meli ya abiria kuzama katika pwani ya Korea kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Juhudi za uokozi zashika kasi Malawi

Juhudi za kuwaokoa watu walioathiriwa na mafuriko katika sehemu kubwa ya Malawi imeanza katika mafuriko mabaya kukumba nchi hio ambapo takriban watu 50 wamefariki

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala zakwama kwenda Feri

USAFIRI wa daladala za kwenda Kivukoni uliotarajiwa kuanza mwishoni mwa Julai, umeshindikana kutokana na barabara kutokamilika. Siku chache zilizopita Mamlaka  ya Usafirishaji wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), ilitangaza  kurejesha...

 

10 years ago

Mwananchi

Juhudi za kuokoa mali Mtwara zakwama

Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendegu la kunusuru wananchi na mali zao kutokana na mafuriko yaliyotokea mkoani hapa, limeshindwa kutekelezeka kikamilifu kutokana na ukosefu wa vifaa vya uokoaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Juhudi za kuwaokoa waliokufa mgodini Nyangalata zakwama

Jitihada za kuwafukua wachimbaji saba waliokufa katika mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama zimegonga mwamba baada ya Serikali kudai shughuli ya kuwatoa itachukua miezi miwili.

 

10 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada yasambazwa Nepal

Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yazidi kutetemeshwa

Hofu imeendelea Nepal ikiwa ni siku kumi na saba tu,baada ya tetemeko kubwa kuipiga nchi hiyo na kuua zaidi ya watu elfu nane.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani