Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nepal kufungua upya vivutio vya watalii

Serikali ya Nepal imetangaza kuwa itafungua upya vivutio vya watalii vilivyoharibiwa na tetemeko la ardhi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ASKARI WA AMANI AZIDI KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA, WATALII WAVUTIWA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
 KAZI inayofanywa na Askari Polisi wa Amani nchini Congo kutoka Arusha- Tanzania Ally Babu ya kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili na vivutio vya Utalii  vilivyopo nchini Tanzania, imeweza kuleta matokeo chanya.
Hilo limekuja baada ya watalii kutokea nchini congo wanaofanya kazi Umoja wa Mataifa kuja nchini kwaajili ya utalii.
Essam Ghoneim raia mwenye asili ya Misri mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Congo amekuwa mtalii wa kwanza kufika nchini Tanzania...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hali ikoje baada ya Tanzania kufungua milango kwa watalii

Tanzania imeanza kuruhusu watalii kuingia nchini humo lakini je hali itarudi kama iliyokuwa na kurudisha imani katika jamii kama ilivyokuwa awali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajali;Watalii 12 waangamia Nepal

Watalii kumi na wawili kutoka nchini Indian wameaga dunia kufuatia ajali ya basi karibu na mji wa Kathmandu nchini Nepal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokozi zakwama upya Nepal

Watu 65 wameripotiwa kufariki kufuatia tetemeko lipya la ardhi lililotikisa Nepal hapo jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii’

WATANZANIA wamehimizwa kutembelea vivutio vya utalii nchini kwa ajili ya kujifunza, kutangaza utalii wa ndani na kuongeza pato la taifa. Ushauri huo ulitolewa juzi na Ofisa Utalii wa Hifadhi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vivutio vya utalii Rungwe havitangazwi

WILAYA ya Rungwe mkoani Mbeya imeshindwa kupaa kiuchumi kwa kutovitangaza vivutio vya utalii vilivyopo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Christian and Gospel Ministry (CGM) wilayani humo, Watson...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii

KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hifadhi ya Kitulo na vivutio vya maua

SEPTEMBA 16, 2005 serikali ililitangaza rasmi eneo la Kitulo kuwa Hifadhi ya Taifa. Hifadhi hii ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa taifa letu. Kitulo ambayo awali...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Tangazeni vivutio vya utalii- Nyalandu


NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI za utalii nchini, zimetakiwa kutangaza vivutio vya utalii, ndani na nje ya nchi.
Waziri  wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema hayo  jijini Arusha,  wakati akifungua mkutano mkuu wa Wamiliki wa Kampuni ya Kusafirisha Watalii (TATO).
Alisema kazi ya kutangaza utalii inapaswa kupewa kipaumbele katika kampuni hizo.
Alizitaka kampuni hizo kuhakikisa zinaongeza kiasi kikubwa cha watalii wanaoingia  nchini, ili kuiingizia serikali fedha nyingi za kigeni na kuachana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani