Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Hali ikoje baada ya Tanzania kufungua milango kwa watalii

Tanzania imeanza kuruhusu watalii kuingia nchini humo lakini je hali itarudi kama iliyokuwa na kurudisha imani katika jamii kama ilivyokuwa awali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tanzania kufufua safari za ndege za abiria na watalii, je imejipanga vipi?

Tanzania litakuwa taifa la kwanza barani Afrika kuruhusu ndege za watalii na abiria wengine kutua nchini humo. Lakini je watalii wanaotegemewa kwenda Tanzania watatoka wapi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona

Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo

Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

Michuzi

DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza hali ya dharura na kuufunga mji mkuu wa Kinshasa kujitenga katika hatua ya kupambana naa maambukizi ya virusi vya Corona.

Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.

Mpaka sasa Jamhuri ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?

Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona ambapo tayari wengine wameanza kusherehekea sikukuu ya Eid?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Hali mbaya ya hewa inapochanganyika na janga la Corona

Baadhi ya watu wamelazimika kushindwa kufuata miongozo iliyowekwa ili kujizuia na maambukizi ya corona kutokana na hali mbaya ya hewa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu wa michezo baada ya Magufuli kuruhusu iendelee

Serikali ya Tanzania imetoa wito wa kuzingatiwa kwa mwongozo wa Afya michezoni, wakati Ligi ya soka na michezo mingine itakaporuhusiwa kuendelea nchini humo kuanzia Kesho Juni Mosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani