Ajali;Watalii 12 waangamia Nepal
Watalii kumi na wawili kutoka nchini Indian wameaga dunia kufuatia ajali ya basi karibu na mji wa Kathmandu nchini Nepal.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Nepal kufungua upya vivutio vya watalii
Serikali ya Nepal imetangaza kuwa itafungua upya vivutio vya watalii vilivyoharibiwa na tetemeko la ardhi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1T32fLFr7znZK5kq0PABUJIF8i*1yUbQDjbxs93cK5tQiVYA6TOvFlBXVEqEZAIAJV42QlvGbWY0UWOZSC4G0H/ajalinew.jpg?width=650)
AJALI YAUA WAUJAJI 17 , YAJERUHI 27 NEPAL
Taswira kutoka eneo la ajali. MAUJAJI 17 wa dhehebu la Kihindu kutoka India wamepoteza maisha leo katika ajali ya basi walilokuwa wakisafiria katika Wilaya ya Dhading karibu na Mji wa Kathmandu nchini Nepal. Katika ajali hiyo, maujaji 27 wamejeruhiwa huku watano kati yao wakiripotiwa kuwa katika hali mbaya, Ubalozi wa India nchini Nepal umeeleza. Basi hilo lilikuwa likitoka Kathmandu kwenda Mji wa Gorakhpur. Maujaji hao walikuwa...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Zaidi ya wahamiaji 200 waangamia Libya
Zaidi ya wahamiaji 200 wanahofiwa kufariki baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama pwani ya Libya
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Misaada yasambazwa Nepal
Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal
10 years ago
BBCSwahili13 May
Nepal yazidi kutetemeshwa
Hofu imeendelea Nepal ikiwa ni siku kumi na saba tu,baada ya tetemeko kubwa kuipiga nchi hiyo na kuua zaidi ya watu elfu nane.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Mwanamke achaguliwa kuongoza Nepal
Bunge nchini Nepal limemchagua mtetezi wa haki za wanawake Bidhya Devi Bhandari kuwa rais, na kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza kabisa kuwa rais nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Nepal yakiri kulemewa na janga
Serikali ya Nepal inasema kuwa imelemewa na kiwango cha janga lililosababishwa na tetemeko la ardhi siku ya Jumamosi.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania