Zaidi ya wahamiaji 200 waangamia Libya
Zaidi ya wahamiaji 200 wanahofiwa kufariki baada ya mashua walimokuwa wakisafiria kuzama pwani ya Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA
Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia.
Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya.
Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli.
Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wahamiaji zaidi ya 50 wafariki Libya
Watu wapatao 50 wamekutwa wamekufa katika sehemu ya mizigo ya boti iliyokuwa imebeba wahamiaji waliokamatwa katika pwani ya Libya.
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Wahamiaji 200 wafa bahari ya Mediterani
Zaidi ya wahamiaji 200 wamekufa baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama katika bahari ya Mediterani.
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Wahamiaji 200 waingia kwa reli Ufaransa
Zaidi ya wahamiaji 200 wamefanikiwa kuvunja vizuizi vya usalama kwenye reli inayounganisha Uingereza na Ufaransa
11 years ago
BBCSwahili31 May
Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya
Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Libya:Waasi wanawazuia wahamiaji 400
Mkuu wa utawala wa waasi nchini Libya ameiambia BBC kuwa vikosi vyao vinafanya juhudi ziwezekanazo kuzuia wahamiaji haramu.
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wahamiaji wamekufa maji wakitokea LIbya
Wahamiaji wengi kutoka Libya wamepoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama.
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya
Ripoti zinasema kuwa takriban watu 700 walikuwa kwenye boti hiyo iliyozama baada ya kukumbana na mawimbi makali karibu Libya
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani
Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania