ASKARI WA AMANI AZIDI KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA, WATALII WAVUTIWA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
KAZI inayofanywa na Askari Polisi wa Amani nchini Congo kutoka Arusha- Tanzania Ally Babu ya kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili na vivutio vya Utalii vilivyopo nchini Tanzania, imeweza kuleta matokeo chanya.
Hilo limekuja baada ya watalii kutokea nchini congo wanaofanya kazi Umoja wa Mataifa kuja nchini kwaajili ya utalii.
Essam Ghoneim raia mwenye asili ya Misri mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Congo amekuwa mtalii wa kwanza kufika nchini Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWENGI WAVUTIWA NA “APP” INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHI TANZANIA
10 years ago
Michuzi.jpg)
WENGI JIJINI NEW YORK WAVUTIWA NA APP INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHINI TANZANIA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Nepal kufungua upya vivutio vya watalii
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii
KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.
10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA SOKO LA MAREKANI YAENDELEA LOS ANGELES


BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi.jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Aug
MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...
11 years ago
Dewji Blog27 Aug
Mbeya yetu Blog waanza kutembelea na kutangaza vivutio vya kitalii mkoani Mbeya, wakianzia na Kijungu
Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda...
5 years ago
Michuzi
TTB KUTANGAZA VIVUTIO KUPITIA SHINDANO YA UREMBO LA KIMATAIFA

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeendelea kutumia fursa ya mashindano ya urembo ya kimataifa kuvitangaza vivutio vya utalii vya Tanzania.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Bi Devota...