Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI WAVUTIWA NA “APP” INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHI TANZANIA

 App inayoonyesha vivutio mbalimbali vya kitalii  nchini Tanzania,  App hiyo ambayo imeandaliwa na Bi. Benita Cassar Torreggiani kwa  kusaidiwa na wataalam kutoka Apple  inaweza kupatikana kupitia  mitandao ya Ipad, Iphone na  Smart Phone.  Mfanyakazi wa Apple Store Grand Centra jijini New  York ambako onyesho hilo lilifanyika akimtambulisha Bi. Benita. Balozi Tuvako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika  Umoja wa Mataifa,  akizungumza  na Bi . Benita ambapo alimshukuru kwa uamuzi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WENGI JIJINI NEW YORK WAVUTIWA NA APP INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHINI TANZANIA

 App inayoonyesha vivutio mbalimbali vya kitalii  nchini Tanzania,  App hiyo ambayo imeandaliwa na Bi. Benita Cassar Torreggiani kwa  kusaidiwa na wataalam kutoka Apple  inaweza kupatikana kupitia  mitandao ya Ipad, Iphone na  Smart Phone.  Mfanyakazi wa Apple Store Grand Centra jijini New  York ambako onyesho hilo lilifanyika akimtambulisha Bi. Benita. Balozi Tuvako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika  Umoja wa Mataifa,  akizungumza  na Bi . Benita ambapo alimshukuru kwa uamuzi...

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI WA AMANI AZIDI KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA, WATALII WAVUTIWA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
 KAZI inayofanywa na Askari Polisi wa Amani nchini Congo kutoka Arusha- Tanzania Ally Babu ya kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili na vivutio vya Utalii  vilivyopo nchini Tanzania, imeweza kuleta matokeo chanya.
Hilo limekuja baada ya watalii kutokea nchini congo wanaofanya kazi Umoja wa Mataifa kuja nchini kwaajili ya utalii.
Essam Ghoneim raia mwenye asili ya Misri mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Congo amekuwa mtalii wa kwanza kufika nchini Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbeya yetu Blog waanza kutembelea na kutangaza vivutio vya kitalii mkoani Mbeya, wakianzia na Kijungu

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu ,  Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.

Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wengi wavutiwa na muujiza Mali

Maelfu ya raia katika mji mkuu wa Mali Bamako wanaendelea kufurika ili kujionea kile kilichotajwa kuwa muujiza wa kidini katika ukuta mmoja ambao ulionekana wikiendi iliopita.

 

9 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI MAALUM YA KUITANGAZA TANZANIA NA VIVUTIO VYA UTALII KIMATAIFA

RAIS Jakaya Kikwete, akizungumza wakati akizindua kampeni maalumu ya kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii kimataifa uliofanyika jana usiku katika Hoteli ya Hyatt Kempinski, Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. Kushuto ni Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Dk. Adelhme Meru na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devota Mdachi.RAIS Jakaya Kikwete, akizndua kampeni maalumu ya kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii kimataifa...

 

10 years ago

Bongo5

Flaviana Matata kushiriki kwenye Tangazo la vivutio vya Tanzania litakalorushwa na CNN America na BBC World

Mwanamitindo wa Tanzania aishiye na kufanya shughuli zake nchini Marekani, Flaviana Matata ataonekana kwenye tangazo la TV la vivutio vya Tanzania, ambalo linatarajiwa kuoneshwa kupitia vituo vya Televisheni vikubwa duniani , CNN na BBC. Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kupitia Twitter. “Flaviana Matata kushiriki Tangazo la vivutio vya Tanzania […]

 

11 years ago

GPL

WENGI WAVUTIWA NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA MFUKO WA GEPF NA KUJIUNGA KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA

Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Fedha na Uchumi Bi Doroth Mwanyika akijaza fomu ya kujiunga na mpango wa Hiari katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF. Afisa kutoka GEPF Bw Swinford Mndellah akitoa ufafanuzi kwa wanachama wa GEPF kutokaJeshi la Polisi juu ya huduma mpya zitolewazo na Mfuko.…

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe: Hatutazuia magari ya kitalii toka nchi jirani

Waziri Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dk Harison Mwakyembe amesema Tanzania haitazuia magari ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki au Nchi nyingine kuingia katika viwanja vyake vya ndege kuleta au kuchukua Watalii wanaopitia katika viwanja hivyo na kwenda katika nchi zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani