Wengi wavutiwa na muujiza Mali
Maelfu ya raia katika mji mkuu wa Mali Bamako wanaendelea kufurika ili kujionea kile kilichotajwa kuwa muujiza wa kidini katika ukuta mmoja ambao ulionekana wikiendi iliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWENGI WAVUTIWA NA “APP” INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o-KiqkuTGLY/VMLK3Q94CeI/AAAAAAAG_Nw/WLDCyk4fg5A/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
WENGI JIJINI NEW YORK WAVUTIWA NA APP INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHINI TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-o-KiqkuTGLY/VMLK3Q94CeI/AAAAAAAG_Nw/WLDCyk4fg5A/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nP7UuQg801A/VMLK3TZEzhI/AAAAAAAG_N4/VDj_6748Pbs/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jyX09TtZyN4/VMLK3vYybzI/AAAAAAAG_OE/UiYqWhxkHrI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
GPLWENGI WAVUTIWA NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA MFUKO WA GEPF NA KUJIUNGA KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA
Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Fedha na Uchumi Bi Doroth Mwanyika akijaza fomu ya kujiunga na mpango wa Hiari katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF. Afisa kutoka GEPF Bw Swinford Mndellah akitoa ufafanuzi kwa wanachama wa GEPF kutokaJeshi la Polisi juu ya huduma mpya zitolewazo na Mfuko.…
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mtoto Ashukiwa kuwaambukiza wengi Mali
WHO linasema kwa msichana wa mdogo aliyethibitishwa kuwa mgonjwa wa kwanza wa ebola nchini Mali anashukiwa kuwaambukiza wengi
10 years ago
Vijimambo25 Oct
Mtoto ashukiwa kuwaambukiza wengi Mali-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/24/141024003838_mali_ebola_kid_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Zaidi ya watu 40 ambao walikaribiana naye wametengwa. Huenda msichana huyo alisafirishwa kwenda nchini Mali na nyanyake baada ya mazishi ya mamake nchini Guinea moja ya nchi ambazo zimeathirka pakubwa na ugonjwa wa ebola.
Utawala nchini Mali sasa umethibitisha kuwa...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Arsenal, City zasubiri muujiza Ulaya
Barcelona na Bayern Munich wana kazi ya kulinda ushindi wao wa mabao 2-0 waliopata kwenye mechi za kwanza za hatua ya 16 bora leo na kesho wakiwa kwenye viwanja vyao vya nyumbani.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Jaji Bomani: Kura ya Maoni Aprili 30 ni muujiza
Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani ameshauri Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iahirishwe na badala yake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) iendelee kuboresha Daftari la Wapigakura.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Askofu: Hakuna muujiza kutatua kero Serikali mbili
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk. Martin Shao amesema hatarajii kuona miujiza katika kushughulikia kero za Muungano wa serikali mbili kwa kuwa suala hilo limeshindikana kwa miaka 50.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Van Gaal: Hakuna muujiza wa kuokoa Man Utd
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna muujiza wa kuimarisha hali ya klabu hiyo na lazima wahusika wote watie bidii.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania