Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii
KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j7r7uCWsPuk/VNMWePSG52I/AAAAAAAHB3E/9iqTQcT3_vM/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PRhlQc6LAME/VNMWeLsGGmI/AAAAAAAHB3A/oR3FlEbFBxw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA SOKO LA MAREKANI YAENDELEA LOS ANGELES
![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8AA9Jd9z28/VMvlh4gyMkI/AAAAAAAHAa0/5ole1ZE74wY/s1600/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z9NbxCAkbCg/XlPYFzAeghI/AAAAAAABLlE/thveeizLH9Eh_ReDpQXUgc8sseclRV2KACNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200224-WA0072.jpg)
ASKARI WA AMANI AZIDI KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA, WATALII WAVUTIWA
KAZI inayofanywa na Askari Polisi wa Amani nchini Congo kutoka Arusha- Tanzania Ally Babu ya kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili na vivutio vya Utalii vilivyopo nchini Tanzania, imeweza kuleta matokeo chanya.
Hilo limekuja baada ya watalii kutokea nchini congo wanaofanya kazi Umoja wa Mataifa kuja nchini kwaajili ya utalii.
Essam Ghoneim raia mwenye asili ya Misri mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Congo amekuwa mtalii wa kwanza kufika nchini Tanzania...
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Tangazeni vivutio vya utalii- Nyalandu
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI za utalii nchini, zimetakiwa kutangaza vivutio vya utalii, ndani na nje ya nchi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema hayo jijini Arusha, wakati akifungua mkutano mkuu wa Wamiliki wa Kampuni ya Kusafirisha Watalii (TATO).
Alisema kazi ya kutangaza utalii inapaswa kupewa kipaumbele katika kampuni hizo.
Alizitaka kampuni hizo kuhakikisa zinaongeza kiasi kikubwa cha watalii wanaoingia nchini, ili kuiingizia serikali fedha nyingi za kigeni na kuachana...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Vivutio vya utalii Rungwe havitangazwi
WILAYA ya Rungwe mkoani Mbeya imeshindwa kupaa kiuchumi kwa kutovitangaza vivutio vya utalii vilivyopo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Christian and Gospel Ministry (CGM) wilayani humo, Watson...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
‘Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii’
WATANZANIA wamehimizwa kutembelea vivutio vya utalii nchini kwa ajili ya kujifunza, kutangaza utalii wa ndani na kuongeza pato la taifa. Ushauri huo ulitolewa juzi na Ofisa Utalii wa Hifadhi ya...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Watanzania waaswa kutembelea vivutio vya utalii
WATANZANIA wameaswa kutembelea vivutio vya utalii ili kuona mambo mbalimbali hususani wanyama waliopo kwenye hifadhi zote nchini na hasa nyakati za Sikukuu za mwishoni mwa mwaka yaani Krismasi na Mwaka Mpya.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Wananchi Dubai ndiyo wanaotengeneza vivutio vya utalii
11 years ago
MichuziWAJUMBE WA SEMINA YA 25 YA CPA WATEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII MJINI BAGAMOYO