Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TTB KUTANGAZA VIVUTIO KUPITIA SHINDANO YA UREMBO LA KIMATAIFA


Katika picha ya pamoja, Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania, BI. Devota Mdachi (Kushoto) akiwa na mrembo Graatness Nkuba pamoja na Meneja wake Miriam Ikoa.
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeendelea kutumia fursa ya mashindano ya urembo ya kimataifa kuvitangaza vivutio vya utalii vya Tanzania. 
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Bi Devota...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii

KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI WA AMANI AZIDI KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA, WATALII WAVUTIWA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
 KAZI inayofanywa na Askari Polisi wa Amani nchini Congo kutoka Arusha- Tanzania Ally Babu ya kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili na vivutio vya Utalii  vilivyopo nchini Tanzania, imeweza kuleta matokeo chanya.
Hilo limekuja baada ya watalii kutokea nchini congo wanaofanya kazi Umoja wa Mataifa kuja nchini kwaajili ya utalii.
Essam Ghoneim raia mwenye asili ya Misri mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Congo amekuwa mtalii wa kwanza kufika nchini Tanzania...

 

5 years ago

Michuzi

TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TTB, Jaji Thomasi Mihayo (katikati), Mkurugenzi Mwendeshajiwa TTB, Devota Mdachi pamoja na Bw. Caesar Waitara wa Wizara ya Mambo ya Nje wakiwa ndani ya chumba cha mkutano katika ofisi za TTB. Baadhi ya wafanyakazi wa TTB wanaosimamia masoko ya utalii ya ukanda wa Asia na Australasia wakifuatilia mazungumzo wakati wa mkutano.
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA SOKO LA MAREKANI YAENDELEA LOS ANGELES

Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii (TTB) Bi. Devota Mdachi akiongea katika hafla maalum ya kutangaza vivutio vya utalii kwa soko la Marekani katika Hoteli ya Four Seasons jijini Las Vegas.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akiwa pamoja na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa katika hafla maalum ya kutangaza vivutio vya utalii nchini kwa soko la Marekani.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Monduli yatema shindano la urembo

KITONGOJI cha Monduli kimeshindwa kuandaa mashindano ya urembo katika Mkoa wa Arusha kutokana na wahusika kushindwa kumudu gharama. Vitongoji vitatu vilikuwa vimepewa nafasi ya kuandaa mashindano hayo chini ya Miss...

 

10 years ago

Michuzi

wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akimpa zawadi ya kinyago Naibu Meya wa jiji la Seattle nchini Marekani Bi. Kim mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa akiongea katika ziara ya kutangaza vivutio vya utalii nchini katika jiji la Seattle nchini Marekani. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akipokea kitabu maalum...

 

10 years ago

Michuzi

MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbeya yetu Blog waanza kutembelea na kutangaza vivutio vya kitalii mkoani Mbeya, wakianzia na Kijungu

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu ,  Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.

Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani