Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lebanon ya Feri ni hatari kwa wafanyabiashara

ENEO la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri ambalo lipo jirani na Ikulu jijini Dar es Salaam limedaiwa kuwa ni hatari kwa wafanyabiashara wa soko hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ENEO LA LEBANON KATIKA SOKO LA KIMATAIFA LA SAMAKI LA FERI JIJINI DAR NI HATARI KWA UCHUMI.

Mwenyekiti wa Kamati ya Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Ali Kibwana, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wanaotembelea masoko mbalimbali ya Manispaa ya Ilala kuona jinsi gani vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia umepungua katika soko hilo baada ya Shirika la Equality for Growth (EfG) kutoa mafunzo ya kupinga ukatili katika masoko hayo. Kushoto ni Mwezeshaji wa Sheria katika soko hilo, Bakari Said.
Mama Lishe wa soko hilo, Taus Barnabas, akichangia neno katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Eneo la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri Jijini Dar ni Hatari kwa Uchumi, Ikulu

Mwenyekiti wa Kamati ya Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Ali Kibwana, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wanaotembelea masoko mbalimbali ya Manispaa ya Ilala kuona jinsi gani vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia umepungua katika soko hilo baada ya Shirika la Equality for Growth (EfG) kutoa mafunzo ya kupinga ukatili katika masoko hayo. Kushoto ni Mwezeshaji wa Sheria katika soko hilo, Bakari Said.

Mwezeshaji wa Sheria katika soko hilo, Bakari Said akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 50 ya Muungano yawa shubiri kwa wafanyabiashara Feri

“SHEREHE za  miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar   eti zitufanye tuondoke Feri, hatukubaliani na hilo. “Kuna mahusiano gani kati ya shughuli zetu za ukaangaji wa samaki ambao tumeufanya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon

Idadi ya wakimbizi waliotoroka Syria na kukimbilia Lebanon imeongezeka na kufika watu milioni moja. Lebanon inasema huu ni mzigo mkubwa

 

11 years ago

Mwananchi

Dotto: Nimejenga, nasomesha kwa kazi ya kukaanga samaki Feri

>Ni eneo ambalo limetanda moshi mzito ukiambatana na moshi wa sigara, kutoka kwa baadhi ya wanaofanya kazi kwenye eneo hilo.

 

11 years ago

GPL

KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU

Feri ya Sewol ilipokuwa ikizama. Waziri Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won aliyejiuzulu.
WAZIRI Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia suala la feri iliyozama siku 11 zilizopita. Chung Hong Won amesema kuwa kubaki ofisini ni mzigo…

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?

Picha ya ardhi yenye mandhari ya kuvutia , ilio na ziwa huku jua likitua nyuma ya milima inaonekana nzuri kwa mtu kutumia katika simu yake.

 

10 years ago

Michuzi

mambo ya kushangaa feri....

Kamera yetu leo imemnasa mdau huyu akibadili pozz mbali mbali wakati akiendeleza mshangao kwenye vyombo vya majini vikiwa vinapita juu ya maji wakati yeye akitupa shilingi inazama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani