VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA
![](http://api.ning.com/files/LAl787uzrCCfK3zrV0j*I6DTX3VQYjeVRgjFvkx8-62CGf6b-hS92eScXQ538lO5y7oDmZwPn2K8GwIb6HMnlMWNF5ZuLN6q/davina.jpg)
Stori: Hamida Hassan HOFU! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amewashauri wasanii kujikabidhi mikononi mwa Mungu kwani anaona jinsi wasanii wanavyozidi kupukutika. Halima Yahya ‘Davina’. Kuonesha msisitizo, Davina amewasihi wasanii wenzake kuacha kutumia pombe na kwa wale ambao wanatajwa katika ishu za usagaji, waache mara moja kwani Mungu anajidhirisha kila kukicha kwamba yupo na watu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoaw3XO5Fsyeb4zcFYYBU6Dn3tFyec4EOp6Uxpvr9PIUMJuHoZGBJBVn5qFgZSUUtgGB251PLiS1Ep9Pyiv2VMUG/MADAHA.jpg?width=650)
VIFO VYAMPA SOMO BABY MADAHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLt4zlEILCzOYUigEprQl5ND080iSeQfMi0AcL3L57qhTkpqoPI6TrByxU95zDhxqYX9QjRssuSfYdHDPBn2ULS/BARAKA.jpg?width=650)
ASHA BARAKA ATOA SOMO VIFO VYA MASTAA UGHAIBUNI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOaiMws9dIVGb9UF-jl*brprHDeTl7glzxdN-ZE2ZEUh8LXECvWVsM1pdOuEGVq79JLJ8mSnv8oFWWRnD9-5DWqA/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA, DAVINA WAWASHANGAA MASTAA WANAOFICHA MIMBA
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Hofu ilichangia vifo ndani ya feri
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6nfnVSY260eGcY0b5HkfEK*Z4qwIPIpaypBWWwd394YOZAAo4yQSghnZ4EXWlRrSHspOv88dlx2fMxVzXtEyAWcl/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
‘VIFO MASTAA KUTIKISA UPYA!'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--3KIKwfTUZLJYmFGi4noEyapJUXJITaZvSaNfpiXtJzVJRQSBn6REK5ws41bPNWzbBfU715zyU9lDUHWxyqwIL/snura.jpg?width=650)
HOFU YA KIFO YATAWALA MASTAA BONGO
9 years ago
StarTV08 Sep
Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.
Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.
Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.
Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...