Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA

Stori: Hamida Hassan HOFU! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amewashauri wasanii kujikabidhi mikononi mwa Mungu kwani anaona jinsi wasanii wanavyozidi kupukutika. Halima Yahya ‘Davina’. Kuonesha msisitizo, Davina amewasihi wasanii wenzake kuacha kutumia pombe na kwa wale ambao wanatajwa katika ishu za usagaji, waache mara moja kwani Mungu anajidhirisha kila kukicha kwamba yupo na watu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VIFO VYAMPA SOMO BABY MADAHA

Na Maria Halimoja Kufuatia vifo vya wasanii vilivyotokea mfululizo, mwigizaji Baby Joseph Madaha amelazimika kubadili mtindo wake wa maisha na kuishi kitakatifu. Staa wa filamu Bongo Baby Joseph Madaha Akipiga stori na paparazi wetu,  Baby  Madaha alisema anawasihi hata wasanii wenzake wabadili mfumo wa maisha kwa kumgeukia Mungu na kufanya ibada kila mara kwa kuwa vifo hivyo vinawapa somo la kuwakumbusha kumkaribia...

 

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA ATOA SOMO VIFO VYA MASTAA UGHAIBUNI!

Na Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ amewaasa wasanii wanaofanya kazi za sanaa nje ya nchi wawe na desturi ya kurejea nyumbani mara kwa mara ili wasisahaulike kwa mashabiki wao. Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’. Akizungumza na gazeti katika mazishi ya  msanii...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA, DAVINA WAWASHANGAA MASTAA WANAOFICHA MIMBA

Stori: Gladness Mallya MASTAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford na Halima Yahaya ‘Davina’ wameshangazwa na mastaa wa kike wanaoficha mimba mbele ya ‘media’. Staa wa Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’. Wakizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni baada ya kuulizwa kwa nini baadhi ya mastaa wanaficha ujauzito na baadaye kuumbuka baada ya kujifungua, walisema wao wanashangazwa na kitendo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu ilichangia vifo ndani ya feri

Habari zinaonyesha kulitokea hali ya wasiwasi kabla ya mkasa wa feri nchini korea kusini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!

Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.

“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...

 

10 years ago

GPL

‘VIFO MASTAA KUTIKISA UPYA!'

Gladness Mallya na Mayasa Mariwata MSHTUKO! Wakati wimbi la wasanii Bongo likizidi kuwa kubwa katika kutangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, mtabiri maarufu nchini, Maalim Hassan Yahya Hussein amefunguka mazito juu ya vifo vya mastaa hao kutikisa upya huku wale watakaosalia wakipata nafasi za uongozi.......Soma zaidi hapa===>http://bit.ly/1eJ2wXv ...

 

11 years ago

GPL

HOFU YA KIFO YATAWALA MASTAA BONGO

Stori: Shani Ramadhani na Deogratius Mongela
HOFU ya kifo imetawala kwa mastaa Bongo ikiwa ni siku chache baada ya gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita kutoka na habari ya utabiri wa Hussein Yahaya, ikieleza kuwa mwaka huu vifo zaidi vitaendelea kwa wasanii wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini na wanasiasa. Aunt Ezekiel. Risasi Mchanganyiko limepata kuzungumza na baadhi ya wasanii wa sanaa mbalimbali...

 

9 years ago

StarTV

Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.

 

Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.

Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.

 

Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani