Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘VIFO MASTAA KUTIKISA UPYA!'

Gladness Mallya na Mayasa Mariwata MSHTUKO! Wakati wimbi la wasanii Bongo likizidi kuwa kubwa katika kutangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, mtabiri maarufu nchini, Maalim Hassan Yahya Hussein amefunguka mazito juu ya vifo vya mastaa hao kutikisa upya huku wale watakaosalia wakipata nafasi za uongozi.......Soma zaidi hapa===>http://bit.ly/1eJ2wXv ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KITABU CHA 'THE 7 HABITS OF HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE' CHAZINDULIWA UPYA KWA LUGHA YA KISWAHILI‏

Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFT Consult/Franklin Covey, Badru Ntege (kulia) akimwonyesha kitabu cha "The 7 Habits of highly effective People" kilichotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mgeni rasmi Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Serena. Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU

Waigizaji na baadhi ya waandishi wa habari wakiwa tayari kusubiri chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. Wolper na Kajala wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.…

 

11 years ago

GPL

JARIDA LA FORBES LIMEMTANGAZA BEYONCE KAMA 'MOST POWERFUL CELEBRITY IN THE WORD' KATI YA MASTAA 100 WALIOKUWA KWENYE LIST YAO.

Kwa mujibu wa Forbes magazine, Beyonce anashikilia rekodi ya mkwanja mrefu akimfunika hadi mumewe Jay Z na mastaa wengine kama Oprah Winfrey,Rihanna na wengine ambao wako kwenye list chini hapo.Angalia orodha ya mastaa 10 wenye utajiri mkubwa na kiasi walichovuna kutoka mwezi June mwaka 2013 mpaka June 2014 ..

1. Beyonce: $115million
2. LeBron James - $72million,
3. Dr. Dre - $620million
4.Oprah Winfrey-  $82million
5....

 

11 years ago

GPL

VIFO VYA MASTAA VYAMPA HOFU DAVINA

Stori: Hamida Hassan HOFU! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amewashauri wasanii kujikabidhi mikononi mwa Mungu kwani anaona jinsi wasanii wanavyozidi kupukutika. Halima Yahya ‘Davina’. Kuonesha msisitizo, Davina amewasihi wasanii wenzake kuacha kutumia pombe na kwa wale ambao wanatajwa katika ishu za usagaji, waache mara moja kwani Mungu anajidhirisha kila kukicha kwamba yupo na watu...

 

11 years ago

GPL

ASHA BARAKA ATOA SOMO VIFO VYA MASTAA UGHAIBUNI!

Na Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’ amewaasa wasanii wanaofanya kazi za sanaa nje ya nchi wawe na desturi ya kurejea nyumbani mara kwa mara ili wasisahaulike kwa mashabiki wao. Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka ‘Iron Lady’. Akizungumza na gazeti katika mazishi ya  msanii...

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

DENTI 'FORM FOUR' ALIYEFARIKI DUNIA SAA 3 KABLA YA MTIHANI

Stori: Mwandishi wetu NI SIMANZI! Msichana Yunis Festo aliyekuwa na umri wa miaka 18 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika Kijiji cha Bulima, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, alifariki dunia ghafla, saa takriban tatu tu kabla ya kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari, alfajiri ya Jumatatu wiki hii. Yunis Festo enzi za uhai wake. Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani