Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI YA WAZEE: Ramli, mirathi, ushirikina vyatajwa kuchangia

 

Imani za kishirikina, ramli chonganisha, mirathi, ardhi, mihemuko ya Imani za mapepo kwa baadhi ya Imani za dini pamoja na   kukosekana kwa elimu ya afya katika maeneo ya vijijini kunasababisha wanawake  wazee kuuwawa kwa kukatwa mapanga kwa kutuhumiwa kuwa ni wachawi

Hayo yamebainika katika semina ya kujadili chanagamoto zinazowakabili wazee wa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na kuangalia  mswaada wa sheria ya wazee utakaowawezesha kupata mahitaji yao ya lazima ili weweze kuishi maisha bora...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAUAJI WATU 16 MARA: MAPENZI, UCHAWI, VISASI VYATAJWA

Stori: Makongoro Oging’ na Igenga Mtatiro
WAKATI hofu kubwa ikiwa imetanda miongoni mwa wananchi wa Wilaya za Butiama na Tarime mkoani Mara kutokana na mauaji ya watu zaidi ya 16, imebainika kwamba sababu za vifo hivyo zimejikita katika wivu wa kimapenzi, vitendo vya ulipizaji visasa na imani za kishirikina. Marehemu Juma Marwa Nyaitara. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali mkoani humo, mauaji hayo, hasa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

10 years ago

Michuzi

UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI

 Mratibu Mkuu wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania (Uwawata), Julius Juju (wapili kulia) akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, ripoti inayopinga upigaji wa ramli na mauaji ya albino na vikongwe nchini. Ripoti hiyo iliyoandaliwa na zaidi ya Wajumbe 200 wa Uwawata baada ya kufanya utafiti ya mauaji ya albino katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na kufanya semina ya hitimisho jijini Mwanza kwa kutoa maazimio ya kupinga mauaji hayo. Kulia ni Mkaguzi wa Waganga...

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE INTERVIEW: 'USHIRIKINA CHANZO CHA MAUAJI YA WATU WENYE ALBINISM' - DK. ALLY POSSI

Na Andrew Chale wa modewji blogDk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:“JAMII yenye ushirikina ndio...

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE INTERVIEW: ‘Ushirikina chanzo cha mauaji ya watu wenye Albinism’ — Dk. Ally Possi

Na Andrew Chale wa modewji blog

Dk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha  Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.

Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.

Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:

“JAMII  yenye ushirikina...

 

10 years ago

Michuzi

KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI

Na  Bashir  Yakub.
Mara  kadhaa kwenye  familia  mbalimbali   kumekuwa hakuna  maelewano  juu  ya  nani  asimamie  mirathi. Unakuta  wapo  wanaomkubali  fulani  asimamie  na  wapo  wanomkataa  wakimtaka   fulani  mwingine  ndiye  asimamie.  Hii   huwa  na  athari  kubwa sana  kwa  warithi  hasa  watoto  kama  wanasoma  ambao  kimsingi  hutakiwa kutumia mali  zile katika  mahitaji  ya  msingi  kama  ada  na  mahitaji  mengine muhimu ya  kiustawi. 
Tumeshashuhudia  mara  nyingi  watoto  wakiacha...

 

9 years ago

StarTV

Hofu ya vijana kushindwa kuwatunza wazee yadaiwa kuchangia vifo.

 

Hofu ya vijana wengi ya kutokuwa na uwezo wa kuwatunza wazee imesabanisha wazee wengi kuuawa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi kwa kigezo cha kuwa na macho mekundu.

Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habari mkoani Ruvuma walipokuwa wakijadili kuhusu kuuawa kwa wazee kunakodaiwa kutokea katika kata ya Lilambo ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayosadikiwa kuwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.

 

Wanawake wazee wakiongea kwa uchungu wamesema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya wazee yazidi nchini

LICHA kuwepo jitihada za serikali kupambana na mauaji ya vikongwe nchini kipindi cha mwaka 2012, lakini zaidi ya 600 waliuawa kutokana na imani za kishirikina. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu...

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani