Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI WATU 16 MARA: MAPENZI, UCHAWI, VISASI VYATAJWA

Stori: Makongoro Oging’ na Igenga Mtatiro
WAKATI hofu kubwa ikiwa imetanda miongoni mwa wananchi wa Wilaya za Butiama na Tarime mkoani Mara kutokana na mauaji ya watu zaidi ya 16, imebainika kwamba sababu za vifo hivyo zimejikita katika wivu wa kimapenzi, vitendo vya ulipizaji visasa na imani za kishirikina. Marehemu Juma Marwa Nyaitara. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali mkoani humo, mauaji hayo, hasa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

MAUAJI YA WAZEE: Ramli, mirathi, ushirikina vyatajwa kuchangia

 

Imani za kishirikina, ramli chonganisha, mirathi, ardhi, mihemuko ya Imani za mapepo kwa baadhi ya Imani za dini pamoja na   kukosekana kwa elimu ya afya katika maeneo ya vijijini kunasababisha wanawake  wazee kuuwawa kwa kukatwa mapanga kwa kutuhumiwa kuwa ni wachawi

Hayo yamebainika katika semina ya kujadili chanagamoto zinazowakabili wazee wa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na kuangalia  mswaada wa sheria ya wazee utakaowawezesha kupata mahitaji yao ya lazima ili weweze kuishi maisha bora...

 

11 years ago

GPL

UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-6

“Mwanzoni alionekana anaweza kumuandaa mwanamke, yaani kipengele cha ‘romansi’ kama anakijua hivi!  Alianza vizuri lakini kabla hajanikoleza ili na mimi nimpokee tuweze kupeana kitu ambacho naamini kila mmoja wetu pale alitamani na ndicho alistahili, nilishangaa anakatisha njia ya mkato na kupanda tutani. “Tuta lenyewe hakujua njia sahihi kuchimba viazi. Akawa ananipalasapalasa tu, alipojitosheleza...

 

11 years ago

GPL

UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-4

Wiki iliyopita niliishia pale mama Shebby akiwa nyumbani kwake saa 3:24 aliposhika simu yake akakuta SMS mbili zilizotoka kwa Pascal waliyekutana supermarket, akamnunulia deodorat  mbili. Moja ya SMS hiyo ilimuuliza kama alilala na ya mwisho alimfahamisha deodorat aliyomchangulia mkewe aliipenda. Unajua kiliendelea nini? Ungana nami... “Haraka sana nilimjibu kwa kumwandikia SMS mbili, ya kwanza nilimjulisha sijalala,...

 

11 years ago

GPL

UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-3

NI somo kuhusu uchawi wa shukurani katika mapenzi. Tuendelee kutoka pale tulipoishia wiki iliyopita kwa mfano wa Mama Shebby, jinsi alivyokosa shukurani kwa mumewe, akamshusha thamani na kwenda kutembea na mwanaume nje ya ndoa lakini baadaye ndiyo anagundua mumewe ni bora sana. Hapa Mama Shebby anamsimulia dada wa saluni anayeitwa Sabrina, mazungumzo ni kama ifuatavyo;
Mama Shebby akaanza: “Sabrina wewe ni mdogo, bado...

 

11 years ago

GPL

UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI

KATIKA mapenzi, hili neno halitakiwi kuishia mdomoni, lazima liishi ndani ya nyoyo za wapendanao. Hapo ndipo unaweza kuona maana yake. Linarahisha suluhu pale wahusika wanapotofautiana, kadhalika ni chachu ya kuepusha shari, hapohapo ni grisi inayolainisha moyo na kukuza uvumilivu. Shukurani ni zaidi ya kumwambia mwenzi wako ‘asante’ pale anapokufanyia kilicho bora au kukununulia zawadi. Yafanye maisha yako yawe ya...

 

11 years ago

GPL

UCHAWI WA ‘SHUKRANI’ KATIKA MAPENZI-5

MAMA Shebby anakutana na mwanaume anayeitwa Pascal na kumuona ni bora kuliko mumewe, anasimulia: “Pascal aliniandikia SMS akizidi kumsifia mume wangu kwamba ananijali, akasema wanaume wengi hawawapi wake zao magari. Sijui kwa nini maneno hayo hayakunizindua na kunifanya niheshimu mchango wa mume wangu katika maisha yangu.“Katika nyakati ambazo huwa nakiri kuwa Shetani ana nguvu sana ni hapa, kwani niliendelea...

 

11 years ago

GPL

WATU 7 WAUAWA KWA TUHUMA ZA UCHAWI

Muonekano wa Kigoma (Picha na maktaba). Polisi nchii Tanzania wanasema watu 7 wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi huko Kigoma, polisi wawatia mbaroni watu 20 kuhusika na tukio hilo. Nyumba za marehemu hao pia zinaripotiwa pia kuchomwa. Shirika moja la kutetea haki za binadamu limesema zaidi ya watu 500 hasa wazee huawa nchini Tanzania kila mwaka kwa kudhaniwa kuwa ni wachawi. (CREDIT: BBC SWAHILI) ...

 

10 years ago

GPL

UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HAYA ndiyo majanga! Hali ya hewa ilibadilika ghafla katika Mahakama ya Mwanzo Ukonga, Dar kufuatia Mheshimiwa Hakimu Rogart Venance Alphonce (54) kuugua ghafla, kudondoka na kutokwa povu mdomoni na puani, hatimaye kufariki dunia! Inauma sana! Marehemu Hakimu Rogart Venance Alphonce enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha na lililoibua vilio kwa watumishi wa mahakama hiyo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..

jb“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani