MAUAJI WATU 16 MARA: MAPENZI, UCHAWI, VISASI VYATAJWA

Stori: Makongoro Oging’ na Igenga Mtatiro WAKATI hofu kubwa ikiwa imetanda miongoni mwa wananchi wa Wilaya za Butiama na Tarime mkoani Mara kutokana na mauaji ya watu zaidi ya 16, imebainika kwamba sababu za vifo hivyo zimejikita katika wivu wa kimapenzi, vitendo vya ulipizaji visasa na imani za kishirikina. Marehemu Juma Marwa Nyaitara. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali mkoani humo, mauaji hayo, hasa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Aug
MAUAJI YA WAZEE: Ramli, mirathi, ushirikina vyatajwa kuchangia
Imani za kishirikina, ramli chonganisha, mirathi, ardhi, mihemuko ya Imani za mapepo kwa baadhi ya Imani za dini pamoja na kukosekana kwa elimu ya afya katika maeneo ya vijijini kunasababisha wanawake wazee kuuwawa kwa kukatwa mapanga kwa kutuhumiwa kuwa ni wachawi
Hayo yamebainika katika semina ya kujadili chanagamoto zinazowakabili wazee wa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na kuangalia mswaada wa sheria ya wazee utakaowawezesha kupata mahitaji yao ya lazima ili weweze kuishi maisha bora...
11 years ago
GPL
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-6
11 years ago
GPL
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-4
11 years ago
GPL
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-3
11 years ago
GPL
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI
11 years ago
GPL
UCHAWI WA ‘SHUKRANI’ KATIKA MAPENZI-5
11 years ago
GPL
WATU 7 WAUAWA KWA TUHUMA ZA UCHAWI
10 years ago
GPL
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..
“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...