Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU 7 WAUAWA KWA TUHUMA ZA UCHAWI

Muonekano wa Kigoma (Picha na maktaba). Polisi nchii Tanzania wanasema watu 7 wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi huko Kigoma, polisi wawatia mbaroni watu 20 kuhusika na tukio hilo. Nyumba za marehemu hao pia zinaripotiwa pia kuchomwa. Shirika moja la kutetea haki za binadamu limesema zaidi ya watu 500 hasa wazee huawa nchini Tanzania kila mwaka kwa kudhaniwa kuwa ni wachawi. (CREDIT: BBC SWAHILI) ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Asimulia anavyoishi kama mkimbizi kwa tuhuma za uchawi

>Walioko magerezani si kwamba wote walitenda makosa,lakini pia wanauawa kwa sura za kishirikina si kwamba wote ni wachawi, bali watu hutenda unyama huo kwa kutimiza matakwa yao

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanne wauawa kwa tuhuma za wizi

WATU wanne wameuawa kwa kupigwa marungu, kuchomwa mikuki na miili yao kuteketezwa kwa moto wilayani Sengerema, Mwanza wakituhumiwa kuwa wezi. Watu hao huku wawili kati yao ni ndugu, waliuawa na...

 

11 years ago

Habarileo

Wauawa kwa tuhuma ya kuzuia mvua kunyesha

WATU wawili wa familia moja wameuawa wilayani Maswa mkoani Simiyu, kwa kupigwa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi, wakiwatuhumu kuzuia mvua kunyesha hivyo kusababisha ukame kwenye eneo lao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 12 kizimbani kwa tuhuma za mauaji ya Kiteto

Wafugaji 12 wa jamii ya Kimasai wilayani Kiteto, katika Mkoa wa Manyara, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wakulima tisa.

 

9 years ago

StarTV

Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.

 

Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha  Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera  Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.

Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen

Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.

 

9 years ago

Global Publishers

Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini

Bomb-Blast-GombeMagari yakiungua wakati wa mlipuko huo.

Borno, Nigeria

WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.

Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.

bomb-blast-explosion“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa kwa Bomu Nigeria

Watu 25 wameuawa kwa shambulio la bomu mjini Kaduna nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria

Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani