UCHAWI WA ‘SHUKRANI’ KATIKA MAPENZI-5
![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d5BYpv9q1OsoG9BfGbjompe6qmyqQqqnzcNqwGuG7DazUx1IYILSVTE0Z-BlezfERajBwpOXP5MKZEanpDIZHn3/mahaba.jpg)
MAMA Shebby anakutana na mwanaume anayeitwa Pascal na kumuona ni bora kuliko mumewe, anasimulia: “Pascal aliniandikia SMS akizidi kumsifia mume wangu kwamba ananijali, akasema wanaume wengi hawawapi wake zao magari. Sijui kwa nini maneno hayo hayakunizindua na kunifanya niheshimu mchango wa mume wangu katika maisha yangu.“Katika nyakati ambazo huwa nakiri kuwa Shetani ana nguvu sana ni hapa, kwani niliendelea...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qJSNUBis2xfVTu*Ju5dfbsOorLjSXaXu0HM8li9jR6NhQXQeYeQEY5sUWpYCnt8Kdmt9N2G-Svy62Ja1w6ZNBE/mahaba.jpg)
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ457RcK407aAXM50mw9ihdR56PmO88AMFYBO-5QiSd12FxsikzBguA1TCfF532pz9ogfvc8nI3HzGfbxJkfwbm/mahaba.jpg?width=650)
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi0x*kpd32138ecq5ZyepB3SWYB6nZvGinQyt0E3K4EamJkk9tpHMGwsamGDlk6hpBQr869ygncekwQoz*QkbQh4/mahaba.jpg)
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDtQJPIXcrWTIYPUUpnu2ULeH2kstFf3hYbuf55dMIgXDqCvLuzCdyDIu37i4tpU-B6L1xflFPdUFpQeev1yTlt/MAHABA.jpg)
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZI-3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg00I7P*OBQhtoYH1de3GUGOH3W1G88uow7Kkujcl84Chl1fNVrlr4SFIz0DoDrShIvX4XzbMvxpeV4SSM2RF*tD/MAUAJI.jpg?width=650)
MAUAJI WATU 16 MARA: MAPENZI, UCHAWI, VISASI VYATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPT2NHufWUAgVUG6G1H7qTJpq52sxANryc5SMYEE5uInsYXKzN3GmlG*r9cpEOq7JoUICU5ltgihsoJlKEQzY78/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
KOLETA: Uchawi Umetawala Katika Filamu
Msanii wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka kuwa, tasnia ya filamu imetawaliwa na uchawi na kusisitiza kuwa itakuwa vigumu kwa baadhi ya wasanii kung’ara katika kazi hiyo.
Koleta alisema kwa sababu uchawi hauna ushahidi si rahisi kutamka hadharani lakini yeye anathubutu kusema ukweli kuhusu jambo hilo.
“Wengi wanaogopa kusutwa lakini lisemwalo lipo na kama halipo laja, suala la uchawi katika tasnia ya filamu lipo wala watu wasikatae, unakuta msanii anajua kuigiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*JZOH6ZhbhnL8ic0gncNBwsKTC16ZHvSYk48X*VcX4xOpVplJpeWpJ34mHEnZyd7utToI-XOhw74X1DQtN-eHq/mahaba.jpg)
UCHAWI WA ‘SHUKURANI’ KATIKA MAPENZ I- 6
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s72-c/Planets.jpg)
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s1600/Planets.jpg)
Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...