STARA THOMAS AMKATIKIA MAUNO MZEE CHILLO
![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DddW5EhDUj-Ymq0mau33QYDSJVuTqJHUI7veGNjAHmtluR76vat39-70zvL0yxkKw4-F1gRjXB*jXjNKnKh9OCU/Chilo.jpg)
Na Gabriel Ng’osha/Ijumaa MWANAMUZIKI Stara Thomas juzikati aliwaacha watu hoi kwa kicheko pale alipoamua kumkatikia mauno Mzee Chillo walipokuwa wakicheza muziki. Mwanamuziki Stara Thomas akikata mauno mbele ya Mzee Chillo. Tukio hilo lililonogesha shughuli lilijiri kwenye uzinduzi wa kitabu cha marehemu Steven Kanumba kilichopewa jina la The Great Follen Tree uliofanyika ndani ya Hoteli ya Landmark, Ubungo jijini Dar....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El-xHBoUCnD80V6RgVDBU3EPWVKI24R34PTH8z6zkz2hA-dKXt*Z*hn5Aj-RUSFu7GnFag-3fgiGf20bm2prE0v-/Front.jpg)
STARA THOMAS AFUMANIWA!
10 years ago
Bongo Movies15 May
Kumbe Wastara na Stara Thomas ni Ndugu!
Staa wa Bongo Movies Wastara Juma leo kupitia ukutrasa wake mtandaoni ametoboa kuwa staa wa Bongo Fleva Wastara Thomas ni ndugu kitu ambacho hata yeye mwenye kimemshangaza.
Wastara alibandika picha hiyo hapo juu ana kuiandikia maelezo haya.
Wastara wa 4, bibi Stara, mama Stara, dada Stara, mdogo Stara, ilo ndilo jina langu halisi nililopewa na bibi yangu huyu hapo mzaa mama usishangae kumuona Stara tomath hata mimi nilisahangaa jina ilo kalipata wapi lakini maswali yameisha leo baada...
10 years ago
CloudsFM25 Feb
Stara Thomas akana kufumaniwa na mpenzi wake
Aliyekuwa mwimbaji muziki wa gospel na baadaye kurudi kwenye Bongo Fleva,Stara Thomas amekana habari zilizoenea hivi karibuni kuwa amefumaniwa na mpenzi wake nyumbani kwake. Akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa mwanamke kama yeye hawezi kufumaniwa na kwamba mpenzi wake wa sasa kinachomsumbua ni wivu wa kimapenzi bila kumtaja jina mpenzi wake huyo wa sasa.
Aidha ameongeza kuwa hayuko tayari zungumzia suala hilo kwa sasa ndiyo maana amekaa kimya tangu habari hizo zitoke...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYo91VqBLgljousQkE7-Wu0ermcxofeuBwACNuCOSokqJFSszrM4uiVvPj0bG5DqqRS6cJLRFnRMjtZhbHk3W03X/150000080.jpg?width=650)
BARUA NZITO STARA THOMAS JITATHMINI UPYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7btvQNVZKK669KpDlD1ihWmonF2Uy2onZdQibDOUvPvW5zLJ2EG5um-zlfJNpkz1AETWE8HYdFHjfFNvAE9-YYM/c.jpg)
MZEE CHILLO AMUONGOZA MGHANA KUMUANGUKIA MONA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMOS1gcRQp3y7Ft6VKFEVQ8Ighzctu6fV2Svtkg0KvSAnt3k3RgKMy-5x8KukkJMQmSm7qn4hW3FJupOu*V6JsLS/chillo.jpg?width=650)
MZEE CHILLO AGOMA KUZUNGUMZIA MAKUBALIANO YA UKAWA
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-6DT8yK5o81Y/VPoIkGy3EjI/AAAAAAAAIBg/rMgL9U4scpM/s1600/Rose1.jpg)
STARA THOMAS AACHIA WIMBO WA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Stara Thomas afanya mahojiano na kipindi cha Leo Tena,kuachia albam ya ngoma zake za zamani
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva,Stara Thomas akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena leo amezungumzia mambo mengi kuhusu muziki wake pia anatarajia kuachia albamu yake ya nyimbo zake zote za zamani hivi karibuni.
Stara akifanya mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s72-c/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Kuhusiana na skendo ya kukutwa na mume wa mtu, Hii ndiyo barua nzito kwa mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva Stara Thomas
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnyIcRaPxw0/VORCPC77RkI/AAAAAAAAGoM/BqBi9wCP0r4/s640/STARA%2BTHOMAS.jpg)
Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni kukupa pole kwa tukio lililotokea juzikati maana suala la kukutwa na...