Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ofisi ya RC yavunja gofu kwa mil. 100/-

Modestus Kilufi OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kubaini kiasi cha Sh milioni 96.6 kimetumika kubomoa jengo bovu mali ya ofisi hiyo, ili kupisha ujenzi wa ofisi mpya za mkuu wa mkoa huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

9 years ago

Mwananchi

100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya Serikali

Kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya Serikali ya kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi, na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa Chadema, Jomba Koyi.

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

Benki ya NMB katika kudhibiti na kupambana dhidi ya virusi vya Corona, Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna amekabidhi msaada wa kifedha shilingi Milioni 100 kwa Mhe. Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa mbele ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto - Ummy Mwalimu pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu-Dar es Salaam.

 Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh....

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAKUKURU yaokoa mil 100/-

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeokoa zaidi ya sh milioni 100 zilizokuwa zimeibwa na watumishi wa halmashauri za wilaya mkoani Tabora kati ya Januari na Novemba mwaka...

 

11 years ago

Habarileo

Kigamboni kulipwa kuanzia mil. 100/-

WATU walio kwenye eneo la mradi wa uendelezaji wa Mji Mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, wamepangiwa viwango vya fidia ya Sh milioni 141 kwa ekari katika awamu ya kwanza.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waua waliotaka kupora mil. 100/-

Polisi jijini Arusha wamewaua watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi ikidaiwa walikuwa wakijiandaa kuiba kiasi cha Sh milioni 100 kutoka kwenye duka la utengenezaji na uuzaji wa vigae linalojulikana kwa jina la Arusha Islamic Center lililopo eneo la Esso.

 

9 years ago

GPL

KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. KAMPUNI ya IPTL pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa PAP Harbinder Sigh Seth, wamemfungulia kesi aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakitaka awalipe shilingi za milioni 100. Wakili aliyefungua kesi hiyo kwa niaba ya mteja wake anasema, wanataka mahakama kumuamuru David Kafulila alipe fedha hizo kwa kuwakashifu kuwa wamechukua fedha...

 

5 years ago

Michuzi

PINDA AFANIKISHA KUPATIKANA ZAIDI YA MIL. 40 UJENZI WA OFISI YA BAKWATA SINGIDA

 Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo. Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo.Tukio la harambee likiendelea.

Na Godwin Myovela, Singida.

WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda, jana aliongoza waislamu katika harambee ya kuchangia ujenzi wa ofisi ya Baraza la Kuu la Waislamu nchini (BAKWATA) inayotarajiwa kujengwa eneo la Ilongero, Wilaya ya Singida...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SEED CO KUZAWADIA WANAFUNZI MADAWATI 100 YENYE THAMANI YA MIL 15 KATIKA SHINDANO LA MASHAMBA DARASA MIKOA YA KANDA YA ZIWA.

Kampuni ya Seed Co Tz Ltd imezindua rasmi shindano la mashamba darasa kwa shule za Msingi Tanzania ambapo shule itakayokuwa imelima shamba zuri kwa kuzingatia misingi yote ya kilimo bora cha kisasa itajishindia zawadi kubwa ya madawati 100 yenye thamani ya shilingi milioni 15 za Kitanzania. Tunaposema kulima kwa kuzingatia misingi ya kilimo bora cha kisasa ni pamoja na matumizi ya mbegu bora, mbolea za kupandia na kukuzia na uhifadhi bora wa mazao baada ya kuvuna. Shindano hili ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani