Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigamboni kulipwa kuanzia mil. 100/-

WATU walio kwenye eneo la mradi wa uendelezaji wa Mji Mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, wamepangiwa viwango vya fidia ya Sh milioni 141 kwa ekari katika awamu ya kwanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wakazi Kigamboni kulipwa mamilioni



 Thamani ya ekari moja ni milioni 141/-  Ni fidia ya kupisha ujenzi wa mji mpya
NA TUMAINI MSOWOYA, DODOMA
WAKAZI wa Kigamboni, Dar es Salaam, ambao maeneo yao yatachukuliwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa mji mpya, watalipwa fidia ya shilingi milioni 141.6 kwa ekari moja.
Malipo hayo ni sawa na  sh. 35,000 kwa mita moja ya mraba.
Malipo hayo yalitangazwa juzi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, alipokuwa akiwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kivuko Kigamboni chaingiza mil 17/- kwa siku

KIVUKO cha Magogoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa siku kinakusanya sh milioni 17.3 ambazo ni sawa na sh milioni 525.3 kwa mwezi, Bunge lilielezwa jana. Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAKUKURU yaokoa mil 100/-

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeokoa zaidi ya sh milioni 100 zilizokuwa zimeibwa na watumishi wa halmashauri za wilaya mkoani Tabora kati ya Januari na Novemba mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 45 ZA UCHIMBAJI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MJI MWEMA KIGAMBONI


 Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorice Malulu (kulia), akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 45, kwa Mganga Mkuu wa Zahanati ya Mji Mwema, Kigamboni, Bw. Richard Mwita, zilizotolewa na TBL kwa ajili ya ujenzi wa kisima cha maji. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Omari Kombe (kushoto), Bi. Upendo Mwabulambo (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Mganga wa Manispaa ya Temeke, Bw. Shaidi Simba (wa pili kulia).
Mwakilishi Mkuu wa Mganga wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waua waliotaka kupora mil. 100/-

Polisi jijini Arusha wamewaua watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi ikidaiwa walikuwa wakijiandaa kuiba kiasi cha Sh milioni 100 kutoka kwenye duka la utengenezaji na uuzaji wa vigae linalojulikana kwa jina la Arusha Islamic Center lililopo eneo la Esso.

 

10 years ago

Habarileo

Ofisi ya RC yavunja gofu kwa mil. 100/-

Modestus Kilufi OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kubaini kiasi cha Sh milioni 96.6 kimetumika kubomoa jengo bovu mali ya ofisi hiyo, ili kupisha ujenzi wa ofisi mpya za mkuu wa mkoa huo.

 

9 years ago

GPL

KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. KAMPUNI ya IPTL pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa PAP Harbinder Sigh Seth, wamemfungulia kesi aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakitaka awalipe shilingi za milioni 100. Wakili aliyefungua kesi hiyo kwa niaba ya mteja wake anasema, wanataka mahakama kumuamuru David Kafulila alipe fedha hizo kwa kuwakashifu kuwa wamechukua fedha...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

Benki ya NMB katika kudhibiti na kupambana dhidi ya virusi vya Corona, Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna amekabidhi msaada wa kifedha shilingi Milioni 100 kwa Mhe. Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa mbele ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto - Ummy Mwalimu pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu-Dar es Salaam.

 Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani