Wakazi Kigamboni kulipwa mamilioni
![](http://2.bp.blogspot.com/-HImQ51ZMMN4/U4bwt2GK22I/AAAAAAAABNw/KDUF9H27kzE/s72-c/tibaijuka+2.jpg)
Thamani ya ekari moja ni milioni 141/-
Ni fidia ya kupisha ujenzi wa mji mpya
NA TUMAINI MSOWOYA, DODOMA
WAKAZI wa Kigamboni, Dar es Salaam, ambao maeneo yao yatachukuliwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa mji mpya, watalipwa fidia ya shilingi milioni 141.6 kwa ekari moja.
Malipo hayo ni sawa na sh. 35,000 kwa mita moja ya mraba.
Malipo hayo yalitangazwa juzi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, alipokuwa akiwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Ngula kulipwa mamilioni
10 years ago
GPLSIMBA KULIPWA MAMILIONI
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
11 years ago
Habarileo29 May
Kigamboni kulipwa kuanzia mil. 100/-
WATU walio kwenye eneo la mradi wa uendelezaji wa Mji Mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, wamepangiwa viwango vya fidia ya Sh milioni 141 kwa ekari katika awamu ya kwanza.
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Wakazi Kigamboni wataka viwanja
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakazi Kigamboni waondolewa hofu
WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Virusi vya corona: Mamilioni ya wakazi wa Beijing waamriwa kutotoka nje ya jiji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
WAKAZI KIGAMBONI WACHANGAMKIA BIMA YA MATIBABU YA SH. 1000/= KWA SIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7nVbk_k5VKg/VORGlnGWx_I/AAAAAAAHETk/Y1-898Qycx0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni