Wakazi Kigamboni wataka viwanja
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Somangila, Kigamboni wilayani Temeke, wameikumbusha Serikali ahadi yao ya kupewa viwanja baada ya kupisha uwekezaji wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Avic.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
11 years ago
Michuzi05 Feb
VIWANJA VILIVYO PIMWA VINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-HImQ51ZMMN4/U4bwt2GK22I/AAAAAAAABNw/KDUF9H27kzE/s72-c/tibaijuka+2.jpg)
Wakazi Kigamboni kulipwa mamilioni
Thamani ya ekari moja ni milioni 141/- Ni fidia ya kupisha ujenzi wa mji mpya
NA TUMAINI MSOWOYA, DODOMA
WAKAZI wa Kigamboni, Dar es Salaam, ambao maeneo yao yatachukuliwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa mji mpya, watalipwa fidia ya shilingi milioni 141.6 kwa ekari moja.
Malipo hayo ni sawa na sh. 35,000 kwa mita moja ya mraba.
Malipo hayo yalitangazwa juzi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, alipokuwa akiwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakazi Kigamboni waondolewa hofu
WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
WAKAZI KIGAMBONI WACHANGAMKIA BIMA YA MATIBABU YA SH. 1000/= KWA SIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-DX7QtKhYh3k/VORGkia7mhI/AAAAAAAHETY/XLEjZ_I8emU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7nVbk_k5VKg/VORGlnGWx_I/AAAAAAAHETk/Y1-898Qycx0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wakazi Kidunda wataka fidia
WAKAZI wa Kidunda, Wilaya ya Morogoro Vijijini wameilalamikia serikali kwa kushindwa kulipa fidia ili kupisha mradi wa ujenzi wa bwawa litakalowahakikishia upatikanaji wa maji wakazi wa Dar es Salaam. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Akiwanadi Wagombea Uongozi Serikali za Mitaa wa UKAWA viwanja Kata ya Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni
10 years ago
VijimamboMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua kipya Mji Mwema Kigamboni cha Fursat Dhahabiyya.